Anna Kilango atiwa mbaroni kwa tuhuma za kutoa rushwa

Rushwa ndo sera ya ccm ni kawaida tutasikia wengi sana watakamatwa
 
Ni shida
 

Attachments

  • 1438369575811.jpg
    1438369575811.jpg
    28.5 KB · Views: 377
Huyo ni kawaida yake, hata kipindi kilichopita alikamatwa kwa tuhuma hizo hizo lkn akaachiwa kwa kuhonga! Mambo ni Yale Yale tuu, anayemkamata mtu kwa rushwa naye anadai rushwa then mchezo umeisha!!
 
Mama angu Ana imefikia hatua hiyo...!!! 2010 Tulisukuma gari yako kwa kukupenda sasa inamana hukubaliki mpaka pesa??? mama nethekiman je iti chinefika aho...!!! mira nrekutathia ushinde ambu nekukundie.....!!!
 
Mama angu Ana imefikia hatua hiyo...!!! 2010 Tulisukuma gari yako kwa kukupenda sasa inamana hukubaliki mpaka pesa??? mama nethekiman je iti chinefika aho...!!! mira nrekutathia ushinde ambu nekukundie.....!!!

Anna hata 2010 alipiga fix kaboyoka ndio alipasua . Mama mjanja sana yule
 
Faida ya kuto aminiana ndo hiyo. Huyo mbunge aliogopa kuwapa wapambe wake kwani akiwapa wakatoe elfu 10 wao wanazipiga panga na kutoa elfu elfu. Kwani ni nani mwenye ujasiri wa kwenda kumwambia mtoaji??
Ndo maana Chambili alikuwa na hilo begi yeye mwenyewe, angalia huyu mama naye, alishikilia begi yeye mwenyewe aiibiwe jamani. Nasema hii inatia huruma kabisa. Aminianeni tuu ukichapwa unyamaze tuu. Haya poleni watia nia wenzangu
 
Walimsema Lowasa kuwa anatoa Rushwa, Lowasa wa watu hajawahi kamatwa hata siku moja akitoa rushwa...
Mwigulu
Nape
Jairo
Etc wote wamekamatwa hadi sasa

Nyeti za kuku zimeanza kionekana
 
Back
Top Bottom