Kumbe wanaposema CCM ni Chama Cha Mafisadi inawezekana ni kweli
Elli kapigwa life ban au na yeye kafungiwa nyumbani asionekane wala kuwasiliana na mtu,
Mama angu Ana imefikia hatua hiyo...!!! 2010 Tulisukuma gari yako kwa kukupenda sasa inamana hukubaliki mpaka pesa??? mama nethekiman je iti chinefika aho...!!! mira nrekutathia ushinde ambu nekukundie.....!!!
Mama angu Ana imefikia hatua hiyo...!!! 2010 Tulisukuma gari yako kwa kukupenda sasa inamana hukubaliki mpaka pesa??? mama nethekiman je iti chinefika aho...!!! mira nrekutathia ushinde ambu nekukundie.....!!!
Walimsema Lowasa kuwa anatoa Rushwa, Lowasa wa watu hajawahi kamatwa hata siku moja akitoa rushwa...
Mwigulu
Nape
Jairo
Etc wote wamekamatwa hadi sasa
Nyeti za kuku zimeanza kionekana