johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,237
- 144,340
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lissu amewasilisha ushahidi wake wa tuhuma za viongozi kupenyezewa rushwa na Matajiri wa CCM.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe atalitolea tamko pamoja na mambo mengine.
Source: Mwananchi
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe atalitolea tamko pamoja na mambo mengine.
Source: Mwananchi