weak people revenges. Strong people forgives. intelligent people ignores. Hapo unaweza kujua jpm yuko wapiChukua udhaifu wa Kikwete na serikali ya awamu ya nne zidisha mara 3 utapata udhaifu wa Magufuli na serikali ya awamu ya tano
Nawaambieni hamuwezi kuvushwa na kiongozi dhaifu. Miaka mitatu imeisha kukiwa na jitihada kubwa za kuficha udhaifu.
Udhaifu unafichwa kupoka majukumu ya vyombo vingine. Udhaifu umefichwa kwa kupokonya na kujimilikidha bunge.
Udhaifu umefichwa kwa kuzuia watu kuongea,udhaifu umefichwa kwa kutisha kila anayenyanyua mdomo.
Udhaifu wa kudorora kwa mapato umefichwa kwa kunyanganya halmashauri vyanzo vya mapato.
Udhaifu wa kuonyesha kushukwa kwa uchumi umefichwa na kutishia kwenye sheria ya Takwimu.
Udhaifu wa kujua mambo ya kimataifa na huko mambele umefichwa kwa kisingizio ya rais hapendi kwenda nje kuokoa gharama
Udhaifu wa kukosolewa umefichwa........namlilia Tundu Lissu.