Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Huyu bwana hatufai!!
Huyu anaipeleka nchi kuzimuAcacia wanadai Trilioni 5
Ile meli ya samaki za Magufuli,wenyewe wameamka wanadai Trilioni 1.2
Jumla trilioni 6.2, hii no hasara tuliyopata kutokana na wewe kuvunja mikataba na taifa litatakiwa kulipa,
Hizi trilioni ni sawa na makusanyo ya kodi ya miezi sita
Bado bilioni 87 za wale jamaa waliokamata bombadia
Ile sheli ya MWARABU uliyovunja mwanza tulilipa mamia ya mabilioni
Wizara ya ujenzi inaongoza kwa kushtakiwa na wananchi na kudaiwa matrilioni
Sasa Mimi nakuuliza,tangu tupate Uhuru,ni maamuzi ya waziri gani/kiongozi yaliyolitia hasara taifa zaidi ya trilioni 6? Na huyo ni waziri mmoja/kiongozi
Tumesikia mawaziri wanaofata sheria na taratibu wakiitwa wapumbavu kwa kuchelewa kuamua,je wafanye maamuzi kama yako yatakayoitia serikali hasara ya matrilioni? Kufata sheria na taratibu imekuwa upumbavu siku hizi?
Sasa kila waziri akikurupuka na mwishowe akaishia kuleta madeni ya trilioni 6,na nchi INA mawaziri zaidi ya 30,si nchi itakuwa inadaiwa trilioni 180?
Sisi tunataka utuambie wewe mwenyewe,wewe binafsi,bila kutumia kodi zetu,umejipangaje kuwalipa hizo trilioni 6
Binafsi naamini madeni yote ya kuvunja mikataba kutokana na maamuzi yako yanaweza kufika trilioni kumi,zikikusanywa kesi zote za pale wizara ya ujenzi na sasa ukiwa mkuu,
Hii no hasara iliyoletwa na mtu mmoja tu!
Civil prisoner hahahaaHuyu mtu siku akisafiri kwenda nje, wadai wake wamubinafsishe asirudi tena nchini.
Noma sanaKuna viongozi wavuta bangi WAPOO kwani wanamaamuzi kii." Ney wa mitego.
Ila wewe ukachangiaUkiona bandiko limepitiwa na watu 142 wamechangia watu 8 ujue wachangiaji wamegundua una akili za Lisu ndiomaana wamelipuuzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Braza hatujakuuliza kuhusu idadi ya watu wanaochangia thread...hio ni nje ya context....Braza utasaidia kulipa hizo trilioni sita? Bro acha kula mirungiUkiona bandiko limepitiwa na watu 142 wamechangia watu 8 ujue wachangiaji wamegundua una akili za Lisu ndiomaana wamelipuuzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana inawezekana anaogopa kuota mabawa kwa sababu hiyo?Huyu mtu siku akisafiri kwenda nje, wadai wake wamubinafsishe asirudi tena nchini.
Bro anapaswa kusababishwa azilipe hizo pesa...sasa sijui atazitolea kupitia wapi>?Duh! Jamaa anawasikilizia tu! Kwa kuwa huwa hawezi kukaa kimya, siku akizungumza na vyombo vya habari atajibu hoja zenu!
Sent using Jamii Forums mobile app