Ing'ang'a
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,866
- 1,284
unapatikania wap Sasa ? Au unamuliza nani Swali lako akujibu au unataka nn Sasa Murasidhan kama uzalendo unapatikania JKT
unapatikania wap Sasa ? Au unamuliza nani Swali lako akujibu au unataka nn Sasa Murasidhan kama uzalendo unapatikania JKT
ni kama kusubiri embe chini ya mlimao dahhhhhTutasubiria Sana
Noma Sanani kama kusubiri embe chini ya mlimao dahhhhh
Usaili bila Information acha UrongoWatu mbona wanafanya usahili na ulishafika ngaz ya mkoa
hii ndo information nakupa we zubaa2 utasikia wa2 wanaanza mafunzoUsaili bila Information acha Urongo
yhaaaaa namimi nmesikia hilii jamboo kuna baadhi ya kanda zmeanza usailihii ndo information nakupa we zubaa2 utasikia wa2 wanaanza mafunzo
komaa sasa afu utengeneze uwanja kutapeli watuhii ndo information nakupa we zubaa2 utasikia wa2 wanaanza mafunzo
Kanda zipi Toa Mfano hapa JF almost wote Ni wasomiyhaaaaa namimi nmesikia hilii jamboo kuna baadhi ya kanda zmeanza usaili
Acha kupotosha umma.. Nafasi bado hazijatoka!! Na nafasi hizi haziwagi siri kama unavyozani na zikitoka huwa zinatangazwa na mamlaka husika..Watu mbona wanafanya usahili na ulishafika ngaz ya mkoa
Na uwe Makini Sana na Kuvumisha Taarifa Kama hizi Watakukamata Asubuhi Sana Maana wahusika wenyewe Wako Humu humu JF wanakuchora Tu unavoropokwa kifara na Hilo I'd yako ya kihaya(The Swagger Boy).Watu mbona wanafanya usahili na ulishafika ngaz ya mkoa
Tena na mtandaoni wanaweka, achana nae huyo.Acha kupotosha umma.. Nafasi bado hazijatoka!! Na nafasi hizi haziwagi siri kama unavyozani na zikitoka huwa zinatangazwa na mamlaka husika..
kwan jombaa nimeweka hata namb ya cm yangu? Me nimekupen taarifa nilizozickia!komaa sasa afu utengeneze uwanja kutapeli watu
Kumbe umeckia ila huna hakika. Ata mi nimeckia mwaka huu wanaanza usahili mwezi wa nne. Vp na hizi unaweza kuanza kuzisambaza sasa??kwan jombaa nimeweka hata namb ya cm yangu? Me nimekupen taarifa nilizozickia!
Kuingia kambini si itakuwa kwenye mwezi wa 7-8 huko?Kumbe umeckia ila huna hakika. Ata mi nimeckia mwaka huu wanaanza usahili mwezi wa nne. Vp na hizi unaweza kuanza kuzisambaza sasa??
Acha kukurupuka mkuu, wengine humu wanawasiliana na makao directly. Uwezekano ni mwezi huu mwishoni au wa nne mwanzoni.
Kuingia kambini si itakuwa kwenye mwezi wa 7-8 huko?[/QUOTE
Kana Tata Mura sisi Bhijana bhado tutakuepo Tunasubiri Tata .
Kumbe umeckia ila huna hakika. Ata mi nimeckia mwaka huu wanaanza usahili mwezi wa nne. Vp na hizi unaweza kuanza kuzisambaza sasa??
Acha kukurupuka mkuu, wengine humu wanawasiliana na makao directly. Uwezekano ni mwezi huu mwishoni au wa nne mwanzoni.