Ing'ang'a
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 1,866
- 1,284
Thanks MritoNafasi zikishatangazwa huwa kuna timu inatumwa mikoani wakishirikiana na washauri wa mgambo wa wilaya na mikoa husika. Hapo kuna interview ukishapita ndio unapewa fomu, baada ya hapo fomu zinarudi makao makuu then wanapanga sasa kambi za kuwapeleka. Kwa mlolongo huo ndio maana zoezi huchukua miezi zaidi ya mitatu yaani kuanzia nafasi kutangazwa mpaka kuripoti makambini. Ukishapewa fomu maana yake umepita interview so wangojea kupangwa tu.. Wish you luck amigos