Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

hivi mtu mwenye akili timamu unataka kwenda jkt ili iweje kule kila kitu wazi afande ukiambiwa kula mavi wewe jibu wazi afande, kusema kweli jkt ni kupoteza muda kwanza jkt haitoi ajira lazima ujue hilo. una kaa jkt two yrs tehen unakosa ajira c utoto huo
Kati ya watu wote walio toa mchango wao humu kwenye huu uzi, wewe ndio mwenye akili uozo, tena ule unaotoa funza. Kmm man!!!
 
Kati ya watu wote walio toa mchango wao humu kwenye huu uzi, wewe ndio mwenye akili uozo, tena ule unaotoa funza. Kmm man!!!
Akili yake huyu Mura na kichwa yake hakuna tofauti na za hao ulowasema Yan wanafanana na hao wadudu WA chooni Tofauti Yao Ni Maumbo na sura lakini utendaji kazi katika kufikiri Ni species moja
 
mtu asie na cha kusema ni vizuri akakaa kimya... maana mkimya ni muelewa kuliko mropokaji. unakuta mtu kila siku ni kutoa negative comments daaa!!!!!! "kweli mweu si lazima aokote makopo"
 
TAARIFA KAMILI;

Jeshi la kujenga Taifa(JKT) litatangaza nafasi za kujiunga na mafunzo ya JKT katika website yake na katika vyombo vya habari kwa muda fulani. Matangazo unayaoyaona sasa sio ya ukweli kwa maada jkt bado hawajatangaza so kuwa makini na matapeli.

JKT litachukua vijana kila wilaya Tanzania nzima kuwapatia mafunzo ya ukakamavu na ujasiriamali wa kujitegemea. Muda ambao utaokuwa kambini utajifunza mbinu za kijasiriamari kwa muda wa miaka mbili ukisubiria ajira kutoka majeshi mengine ambapo utaenda kupewa mafunzo zaidi yanayohusiana na jeshi kama magereza,polisi,jwtz baba lao,uhamiaji,navy, TANAPA,bandarini,migodini n.k. baada ya miaka hiyo 2 ikatokea haujaajiriwa na moja ya hili jeshi basi mkataba wako na jkt utaishipia hapo na kurudi nyumbani kuendeleza ujuzi uliopewa kwa kujiajiri.

ANGALIZO;
Usikubali kutuma pesa kwa ajiri ya kufanyiwa mpango wa jkt. Nafas za jkt hazinunuliwi na ni kosa kubwa sana, baadhi ya watu wanajifanya wanajuana na uongozi wa jkt na kutumia hicho kama kigezo cha kujipatia pesa. Nafasi za jkt ni kwa raia wote wa Tanzania na kama ukiwa na vigezo vyote basi usiwe wasi utapata nafasi ya jkt na kwenda kuuona ulimwengu ambao hujawahi kuwapo kama lugha zao
 
TAARIFA KAMILI;

Jeshi la kujenga Taifa(JKT) litatangaza nafasi za kujiunga na mafunzo ya JKT katika website yake na katika vyombo vya habari kwa muda fulani. Matangazo unayaoyaona sasa sio ya ukweli kwa maada jkt bado hawajatangaza so kuwa makini na matapeli.

JKT litachukua vijana kila wilaya Tanzania nzima kuwapatia mafunzo ya ukakamavu na ujasiriamali wa kujitegemea. Muda ambao utaokuwa kambini utajifunza mbinu za kijasiriamari kwa muda wa miaka mbili ukisubiria ajira kutoka majeshi mengine ambapo utaenda kupewa mafunzo zaidi yanayohusiana na jeshi kama magereza,polisi,jwtz baba lao,uhamiaji,navy, TANAPA,bandarini,migodini n.k. baada ya miaka hiyo 2 ikatokea haujaajiriwa na moja ya hili jeshi basi mkataba wako na jkt utaishipia hapo na kurudi nyumbani kuendeleza ujuzi uliopewa kwa kujiajiri.

ANGALIZO;
Usikubali kutuma pesa kwa ajiri ya kufanyiwa mpango wa jkt. Nafas za jkt hazinunuliwi na ni kosa kubwa sana, baadhi ya watu wanajifanya wanajuana na uongozi wa jkt na kutumia hicho kama kigezo cha kujipatia pesa. Nafasi za jkt ni kwa raia wote wa Tanzania na kama ukiwa na vigezo vyote basi usiwe wasi utapata nafasi ya jkt na kwenda kuuona ulimwengu ambao hujawahi kuwapo kama lugha zao
Sawa Mkuu.
 
Walikuwa na kawaida ya kutangaza Febr ila naona mwaka huu kimya labda tusubr wakimalza na form six june
 
TAARIFA KAMILI;

Jeshi la kujenga Taifa(JKT) litatangaza nafasi za kujiunga na mafunzo ya JKT katika website yake na katika vyombo vya habari kwa muda fulani. Matangazo unayaoyaona sasa sio ya ukweli kwa maada jkt bado hawajatangaza so kuwa makini na matapeli.

JKT litachukua vijana kila wilaya Tanzania nzima kuwapatia mafunzo ya ukakamavu na ujasiriamali wa kujitegemea. Muda ambao utaokuwa kambini utajifunza mbinu za kijasiriamari kwa muda wa miaka mbili ukisubiria ajira kutoka majeshi mengine ambapo utaenda kupewa mafunzo zaidi yanayohusiana na jeshi kama magereza,polisi,jwtz baba lao,uhamiaji,navy, TANAPA,bandarini,migodini n.k. baada ya miaka hiyo 2 ikatokea haujaajiriwa na moja ya hili jeshi basi mkataba wako na jkt utaishipia hapo na kurudi nyumbani kuendeleza ujuzi uliopewa kwa kujiajiri.

ANGALIZO;
Usikubali kutuma pesa kwa ajiri ya kufanyiwa mpango wa jkt. Nafas za jkt hazinunuliwi na ni kosa kubwa sana, baadhi ya watu wanajifanya wanajuana na uongozi wa jkt na kutumia hicho kama kigezo cha kujipatia pesa. Nafasi za jkt ni kwa raia wote wa Tanzania na kama ukiwa na vigezo vyote basi usiwe wasi utapata nafasi ya jkt na kwenda kuuona ulimwengu ambao hujawahi kuwapo kama lugha zao
I question the authenticity of your post
 
Ndugu next week mambo yote yatakuwa open tayari tumeshatuma barua huko mikoani kwenu hivo very soon kitanukaaaaaaaa
 
tatizo la kugoma website ya jkt ni mambo ya uboreshaji wa taarifa na sio jkt hata jwtz haifunguki.

Kuhusu kuanza mtatangaziwa soon mjiandae, hizo taarifa mnazopewa nafas za jkt zimeshatoka sio za kweli ni utapeli na ukifumaniwa hatua za kisheria zitafuatwa. Subiri mtangaziwe website yao au vyombo vya habari.

Ila mwishoni mwa mwezi huu au mwanzoni mwa april mambo yatakuwa sawa
 
Back
Top Bottom