the swaggaz boy
Member
- Dec 21, 2013
- 97
- 59
duh xo farApril hyo Tarehe everything gonna be on the Track.
duh xo farApril hyo Tarehe everything gonna be on the Track.
Nilidokezwa hili suala ila nilikuwa bado nalifuatilia.Kuna ukweli wowote mpaka uchaguzi zanzibar huishe ndo nafasi zitoke?
Mkuu taarifa zako umezitoa wapi? Maana web yao haifungukisoma hapa ni muhimu.........
Hiyo kitu imetengenezwa. Ukiangalia font za mwaka 2016 na hayo maandishi ni tofauti. Maandishi yana Times New Roman yakiwa bolded lakini mwaka 2016 ni Calibri tena iko plain haijawa bolded. kama taarifa huna uhakika nayo usisambazesoma hapa ni muhimu.........
nmefanya hivyo ili tui discuss maana na mm kuna mtu kanitumia......nataka tu share ideas kuhusu hiyo issueUkikamatwa ndo utajifunza kama information ya sio ya kweli please usiisambaze , @# Cyber law itakuhusu.
sikua na nia ya kupotosha umma mimi pia nmetumiwa ikabid niiweke humu ili tuijadirHiyo kitu imetengenezwa. Ukiangalia font za mwaka 2016 na hayo maandishi ni tofauti. Maandishi yana Times New Roman yakiwa bolded lakini mwaka 2016 ni Calibri tena iko plain haijawa bolded. kama taarifa huna uhakika nayo usisambaze
Sawa mkuu lakini ungeweka caption ya kuuliza au uhitaji wa kujadili kuliko kuandika caption yako ile uliyoandikasikua na nia ya kupotosha umma mimi pia nmetumiwa ikabid niiweke humu ili tuijadir
Naskia cku hizi hakuna direct bro ni mpk upte jkt kwanza thenjwtz ndo wanakuja kuchukua askar kwa ajiri ya mafunzo....#manjeta duu brother nmependa presentation yako kuhusu jkt to jwtz,Nina swali ndugu je kuna uwezekano wa MTU kujiunga direct mfano form six leaver anamiaka 27 anaruhusiwa,VP vgezo vingine ndugu,