Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

We jamaa nakuona sana humu ndani JF masaa yote 24, wewe nawe ni Jobless tu kama vijana wanaosubiri nafasi za JKT humu ndani.
Wengine tunaenda huko kwa mapenzi yetu kabisa na tunaipenda hiyo kazi. J3 njoo TPB tawi la Metropolitan (Ukifika pale Posta kwenye yule Askari kwa pembeni utaona hiyo TPB) Ingia ndani, kisha kunja kushoto, tembea kidogo utatazamana na Credit Department, achana na ya kwanza njoo ya pili yake. Utamkuta kijana wa kiume na binti mwingine wa kike mweupe, huyo wa kiume ndo mimi.
Usifikiri kila anayekwenda JKT hana cha kufanya, wengine wana mipango wa kutimiza ndoto zao, kuna watu wana ndoto za Usalama wa Taifa, Polisi, JWTZ n.k hawezi kusitisha kupigania ndoto yake eti kisa waombaji ni wengi.
Nimekujibu hivi maana naona unawakomalia sana watu wanaotaka kuingia JKT 2016, ni vema ukakaa kimya na ukawaacha kama walivyo maana hatuwezi kukata tamaa kwa maneno yako.
Hahaaha ahsante kwa kumsaidia huyo kijana tatzo wengine wanamsaidia shetan kufanya kazi bro...hawajui kilamtu na mipango ywke na vgezo kama mtu anavyo huwez kuachwa......
 
We jamaa nakuona sana humu ndani JF masaa yote 24, wewe nawe ni Jobless tu kama vijana wanaosubiri nafasi za JKT humu ndani.
Wengine tunaenda huko kwa mapenzi yetu kabisa na tunaipenda hiyo kazi. J3 njoo TPB tawi la Metropolitan (Ukifika pale Posta kwenye yule Askari kwa pembeni utaona hiyo TPB) Ingia ndani, kisha kunja kushoto, tembea kidogo utatazamana na Credit Department, achana na ya kwanza njoo ya pili yake. Utamkuta kijana wa kiume na binti mwingine wa kike mweupe, huyo wa kiume ndo mimi.
Usifikiri kila anayekwenda JKT hana cha kufanya, wengine wana mipango wa kutimiza ndoto zao, kuna watu wana ndoto za Usalama wa Taifa, Polisi, JWTZ n.k hawezi kusitisha kupigania ndoto yake eti kisa waombaji ni wengi.
Nimekujibu hivi maana naona unawakomalia sana watu wanaotaka kuingia JKT 2016, ni vema ukakaa kimya na ukawaacha kama walivyo maana hatuwezi kukata tamaa kwa maneno yako.
Haswaaa Yeke Tata. Kana omukangi hyo vipi anatuona kama wakangi wenzie eti , yeke mi nimemaliza mwaka Jana Tu Chuo pale SAUT hapa napga kazi kwa Rafiki yangu as a senior supervisor kwenye company lake la Ununizi Dagaa na Usambazaji Cement Na PIA nasubiria ajira za Ualimu muda wowote wanatoa tangazo na majina Mimi Kwenda Jando (J.K.T) Ni Mapenzi yangu Tu Dhati kwa Nchi yangu na kazi ile ninayoilenga kuitumikia .
Sasa wee Mukangi unatuona Kama wapotea njia Sana njo Musoma Maeneo ya Mwigobero uliza Enock Watakuonesha but currently niko Mwanza na jtatu Mungu akijalia naja Huko Dar kuset Mipango sawa sawa na kufanya mambo mengine ulaaniwe kama unatuona wapotea njia Murisha wewe tena Nyamsagane omwene kabhisa Hufai na uje Musoma tukutaili kwa kisu bila ganzi ndo upate Kuwa mwanaume kamili hapo Mimi nakuhesabu kama Dem wangu.
 
We jamaa nakuona sana humu ndani JF masaa yote 24, wewe nawe ni Jobless tu kama vijana wanaosubiri nafasi za JKT humu ndani.
Wengine tunaenda huko kwa mapenzi yetu kabisa na tunaipenda hiyo kazi. J3 njoo TPB tawi la Metropolitan (Ukifika pale Posta kwenye yule Askari kwa pembeni utaona hiyo TPB) Ingia ndani, kisha kunja kushoto, tembea kidogo utatazamana na Credit Department, achana na ya kwanza njoo ya pili yake. Utamkuta kijana wa kiume na binti mwingine wa kike mweupe, huyo wa kiume ndo mimi.
Usifikiri kila anayekwenda JKT hana cha kufanya, wengine wana mipango wa kutimiza ndoto zao, kuna watu wana ndoto za Usalama wa Taifa, Polisi, JWTZ n.k hawezi kusitisha kupigania ndoto yake eti kisa waombaji ni wengi.
Nimekujibu hivi maana naona unawakomalia sana watu wanaotaka kuingia JKT 2016, ni vema ukakaa kimya na ukawaacha kama walivyo maana hatuwezi kukata tamaa kwa maneno yako.
Mimi nashinda Jamii forums? Labda una Hasira tuu mkuu all in all what is TPB au Tanzania Postal Bank? sasa kama Upo hapo Una tofauti gani na Wanaokatika Viuno kwenye Malori ya Mitandao ya simu wakitangaza Promotion tafuta kazi nyingine mkuu naona Kinara wa Kuanzisha mathread ya JKT kila mwaka na Haujafanikiwa halafu unalinga na Bank ya Posta.
 
We jamaa nakuona sana humu ndani JF masaa yote 24, wewe nawe ni Jobless tu kama vijana wanaosubiri nafasi za JKT humu ndani.
Wengine tunaenda huko kwa mapenzi yetu kabisa na tunaipenda hiyo kazi. J3 njoo TPB tawi la Metropolitan (Ukifika pale Posta kwenye yule Askari kwa pembeni utaona hiyo TPB) Ingia ndani, kisha kunja kushoto, tembea kidogo utatazamana na Credit Department, achana na ya kwanza njoo ya pili yake. Utamkuta kijana wa kiume na binti mwingine wa kike mweupe, huyo wa kiume ndo mimi.
Usifikiri kila anayekwenda JKT hana cha kufanya, wengine wana mipango wa kutimiza ndoto zao, kuna watu wana ndoto za Usalama wa Taifa, Polisi, JWTZ n.k hawezi kusitisha kupigania ndoto yake eti kisa waombaji ni wengi.
Nimekujibu hivi maana naona unawakomalia sana watu wanaotaka kuingia JKT 2016, ni vema ukakaa kimya na ukawaacha kama walivyo maana hatuwezi kukata tamaa kwa maneno yako.
jibu zuri mkuu...kama hana chembe za weu atakuelewa......
 
Haswaaa Yeke Tata. Kana omukangi hyo vipi anatuona kama wakangi wenzie eti , yeke mi nimemaliza mwaka Jana Tu Chuo pale SAUT hapa napga kazi kwa Rafiki yangu as a senior supervisor kwenye company lake la Ununizi Dagaa na Usambazaji Cement Na PIA nasubiria ajira za Ualimu muda wowote wanatoa tangazo na majina Mimi Kwenda Jando (J.K.T) Ni Mapenzi yangu Tu Dhati kwa Nchi yangu na kazi ile ninayoilenga kuitumikia .
Sasa wee Mukangi unatuona Kama wapotea njia Sana njo Musoma Maeneo ya Mwigobero uliza Enock Watakuonesha but currently niko Mwanza na jtatu Mungu akijalia naja Huko Dar kuset Mipango sawa sawa na kufanya mambo mengine ulaaniwe kama unatuona wapotea njia Murisha wewe tena Nyamsagane omwene kabhisa Hufai na uje Musoma tukutaili kwa kisu bila ganzi ndo upate Kuwa mwanaume kamili hapo Mimi nakuhesabu kama Dem wangu.
Umesoma SAUT? Ilikuaje mpaka ukasoma SAUT ilikuaje hukusoma SUA,UD,IFM na Mzumbe tatizo lilikua nini?
 
Haswaaa Yeke Tata. Kana omukangi hyo vipi anatuona kama wakangi wenzie eti , yeke mi nimemaliza mwaka Jana Tu Chuo pale SAUT hapa napga kazi kwa Rafiki yangu as a senior supervisor kwenye company lake la Ununizi Dagaa na Usambazaji Cement Na PIA nasubiria ajira za Ualimu muda wowote wanatoa tangazo na majina Mimi Kwenda Jando (J.K.T) Ni Mapenzi yangu Tu Dhati kwa Nchi yangu na kazi ile ninayoilenga kuitumikia .
Sasa wee Mukangi unatuona Kama wapotea njia Sana njo Musoma Maeneo ya Mwigobero uliza Enock Watakuonesha but currently niko Mwanza na jtatu Mungu akijalia naja Huko Dar kuset Mipango sawa sawa na kufanya mambo mengine ulaaniwe kama unatuona wapotea njia Murisha wewe tena Nyamsagane omwene kabhisa Hufai na uje Musoma tukutaili kwa kisu bila ganzi ndo upate Kuwa mwanaume kamili hapo Mimi nakuhesabu kama Dem wangu.
Post nyingi za kazi mimi huyu jamaa huwa namuona, kiukweli mimi kama ni ajira tu basi ningejituliza hapahapa nilipo.
Sisi ni wanaume, tunapigania kile ambacho moyo wetu unakiona. Kuna watu kama akina Lowassa, japo kuna mengi aliona jamii isingemkubali kirahisi ila alithubutu kuionesha jamii kwamba anahitaji nini na ndoto yake ni ipi.
Sisi tunafata nyayo za watu kama hao, watu wasiozimia mioyo, hizo nafasi hata waombaji 5,000,000 na wanahitajika 400 basi tutapigania tu humohumo. Ikishindikana basi ila umeonesha hali ya kupambana wewe kama mwanaume.
 
Haswaaa Yeke Tata. Kana omukangi hyo vipi anatuona kama wakangi wenzie eti , yeke mi nimemaliza mwaka Jana Tu Chuo pale SAUT hapa napga kazi kwa Rafiki yangu as a senior supervisor kwenye company lake la Ununizi Dagaa na Usambazaji Cement Na PIA nasubiria ajira za Ualimu muda wowote wanatoa tangazo na majina Mimi Kwenda Jando (J.K.T) Ni Mapenzi yangu Tu Dhati kwa Nchi yangu na kazi ile ninayoilenga kuitumikia .
Sasa wee Mukangi unatuona Kama wapotea njia Sana njo Musoma Maeneo ya Mwigobero uliza Enock Watakuonesha but currently niko Mwanza na jtatu Mungu akijalia naja Huko Dar kuset Mipango sawa sawa na kufanya mambo mengine ulaaniwe kama unatuona wapotea njia Murisha wewe tena Nyamsagane omwene kabhisa Hufai na uje Musoma tukutaili kwa kisu bila ganzi ndo upate Kuwa mwanaume kamili hapo Mimi nakuhesabu kama Dem wangu.
Eti Unataka Kutimiza Ndoto we sema Umechoka na Gross ya 500,000 Maanake naona Facebook huko mmefungua na Page zenu na Sikuuliza kwa Ubaya Kuwa J.K.T kukubwa Kiasi gani na Nikiangalia na Viewers wa Likiandikw neno J.K.T tuu naona mpo wengi sana that why nawauliza huko JKT mtatosha.
 
Hahaaha ahsante kwa kumsaidia huyo kijana tatzo wengine wanamsaidia shetan kufanya kazi bro...hawajui kilamtu na mipango ywke na vgezo kama mtu anavyo huwez kuachwa......
Kwahiyo mnaamini vigezo mnavyo nyinyi tuu what a fart!
 
Hahaaha ahsante kwa kumsaidia huyo kijana tatzo wengine wanamsaidia shetan kufanya kazi bro...hawajui kilamtu na mipango ywke na vgezo kama mtu anavyo huwez kuachwa......
Kwahiyo mnaamini vigezo mnavyo nyinyi tuu what a fart!
 
Mimi nashinda Jamii forums? Labda una Hasira tuu mkuu all in all what is TPB au Tanzania Postal Bank? sasa kama Upo hapo Una tofauti gani na Wanaokatika Viuno kwenye Malori ya Mitandao ya simu wakitangaza Promotion tafuta kazi nyingine mkuu naona Kinara wa Kuanzisha mathread ya JKT kila mwaka na Haujafanikiwa halafu unalinga na Bank ya Posta.
Wee Ni Fara Sana,
 
J
Post nyingi za kazi mimi huyu jamaa huwa namuona, kiukweli mimi kama ni ajira tu basi ningejituliza hapahapa nilipo.
Sisi ni wanaume, tunapigania kile ambacho moyo wetu unakiona. Kuna watu kama akina Lowassa, japo kuna mengi aliona jamii isingemkubali kirahisi ila alithubutu kuionesha jamii kwamba anahitaji nini na ndoto yake ni ipi.
Sisi tunafata nyayo za watu kama hao, watu wasiozimia mioyo, hizo nafasi hata waombaji 5,000,000 na wanahitajika 400 basi tutapigania tu humohumo. Ikishindikana basi ila umeonesha hali ya kupambana wewe kama mwanaume.
Mjinga Tu hyo Tata.
 
Mimi nashinda Jamii forums? Labda una Hasira tuu mkuu all in all what is TPB au Tanzania Postal Bank? sasa kama Upo hapo Una tofauti gani na Wanaokatika Viuno kwenye Malori ya Mitandao ya simu wakitangaza Promotion tafuta kazi nyingine mkuu naona Kinara wa Kuanzisha mathread ya JKT kila mwaka na Haujafanikiwa halafu unalinga na Bank ya Posta.
Asante Mkuu, namaanisha hapohapo Tanzania Postal Bank. Kama anayekata viuno ili kunufaisha familia yake na watoto sio vibaya sana.

Nipo hapa TPB kama Channel ya kuniweka vizuri ili niende sehemu nyingine, mshahara wa hapa ni tegemezi kwangu na kwa wengine. Ninachokipata nitawaachia wanaonitegema kwa kiasi flani ili kiwasaidie punde nikienda JKT.

Naenda JKT kutazamia kutimiza ndoto zangu, katika maisha yangu nafanya kile ambacho moyo wangu unatamani, napenda sana kuwa na amani. Nikishindwa JKT na seheme zingine zote ambazo zinaweza kutimiza ndoto zangu basi nitatafuta kazi nyingine ya kufanya, ila kwa sasa bado sijakata tamaa kwamba siwezi timiza ndoto yangu. Na sijaona cha kunizuia ili nisitimize ndoto yangu.

Sijui kwanini umesema mimi ni muanzilishi wa Thread zinazohusu JKT, unaweza ukanionesha ni thread gani nimeanzisha? Napenda kuingia ktk Thread zinazohusu JKT ili nijue naenda wapi na inabidi nifanye nini ili kukabilia na changamoto hizo kabla ya kuanza mafunzo na baada.

Wewe ni mtu mzima, kama umetimiza malengo yako basi hongera sana, sisi bado tuna kwenye process, hata wewe ulivyokuwa kwenye process haukutamani ukatishwe tamaa, na sisi pia hatutamani kusikia mambo vitu hasi bali chanya.

Umeongea mengi na maneno ya ajabu na matusi kedekede ila naomba nikwambie kwamba mimi ndo kwanza naona umenipa hali mpya na shauku mpya ya kuingia JKT, mahali palikuwa na shida au kikwazo mbele basi kuna ushindi karibu. Wana wa Israel walikutana na ukuta wa Yeriko ila Yeriko ilidondoka, walipita jangwani ila Mungu aliwapa maji ktk mwamba, Wana wa Israel walivyoona bahari, waliingiwa na wasiwasi ila baadae mlango ukafunguka, vijana wenzangu mnaosubiri nafasi za JKT nawaambia ya kwamba mlango utafunguka. Usisikilize maneno ya watu wanakwambia nini, tazama moyo wako una shauku ya nini. Wapinzani ni wengi na vita ni nyingi ila nawasihi tupambane, Mungu atafungua mlango.

Kusudi la Mungu haliwezi kuzuiwa na chochote kile, cha msingi ni uvumilivu na kujiandaa kisaikolojia.

Nawapenda sana vijana wenzangu.
 
Umesoma SAUT? Ilikuaje mpaka ukasoma SAUT ilikuaje hukusoma SUA,UD,IFM na Mzumbe tatizo lilikua nini?
Pimbi wewe Kwan kwenye hivo vyuo ndo Kuna nn Sisi Huwa watu wazima kama Mimi haturuhusiwi kugombana na Mrisha kama wee Katailiwe kwanza . Bado kijamii huna heshima Kwan unatembea na uchafu mwilini unanuka kwanza.
 
Eti Unataka Kutimiza Ndoto we sema Umechoka na Gross ya 500,000 Maanake naona Facebook huko mmefungua na Page zenu na Sikuuliza kwa Ubaya Kuwa J.K.T kukubwa Kiasi gani na Nikiangalia na Viewers wa Likiandikw neno J.K.T tuu naona mpo wengi sana that why nawauliza huko JKT mtatosha.
Wee Nguchiro wacha wamura waende kulitumikia Taifa Nyakundo wacha kiherehe na wivu Wa kike kike.
 
Umesoma SAUT? Ilikuaje mpaka ukasoma SAUT ilikuaje hukusoma SUA,UD,IFM na Mzumbe tatizo lilikua nini?
kana Afu uwe unaangalia na Design ya watu Wa kurumbana nao Tata sio wote humu Ni wakuparamia Mimi sio mtu wa kabila lako
Ntakutukana Sana, Kama Tcra watatukamata basi potelea popote. Na wewe Tu huwezi kunikatisha tamaa wala kunikwamisha either kwa uchawi au maneno .
 
We jamaa nakuona sana humu ndani JF masaa yote 24, wewe nawe ni Jobless tu kama vijana wanaosubiri nafasi za JKT humu ndani.
Wengine tunaenda huko kwa mapenzi yetu kabisa na tunaipenda hiyo kazi. J3 njoo TPB tawi la Metropolitan (Ukifika pale Posta kwenye yule Askari kwa pembeni utaona hiyo TPB) Ingia ndani, kisha kunja kushoto, tembea kidogo utatazamana na Credit Department, achana na ya kwanza njoo ya pili yake. Utamkuta kijana wa kiume na binti mwingine wa kike mweupe, huyo wa kiume ndo mimi.
Usifikiri kila anayekwenda JKT hana cha kufanya, wengine wana mipango wa kutimiza ndoto zao, kuna watu wana ndoto za Usalama wa Taifa, Polisi, JWTZ n.k hawezi kusitisha kupigania ndoto yake eti kisa waombaji ni wengi.
Nimekujibu hivi maana naona unawakomalia sana watu wanaotaka kuingia JKT 2016, ni vema ukakaa kimya na ukawaacha kama walivyo maana hatuwezi kukata tamaa kwa maneno yako.
Nimeona nikuongeze like nyingine ya maneno mkuu wangu.

Ni hivi baadhi ya maafrika huwa yana wivu sana na mafanikio ya wengine hata kama bado hujafikia ndo unaanza lazima yataanzisha figisu ili ukate tamaa. Mmoja wapo ni huyo jamaa. Anaonekana anataka kujiunga ila hana moyo wa kiume, kama kweli angekuwa hapahitaji angepita tu akaendelea na mambo mengine mbona majukwaa yako mengi tu na threads zingine hazina wachangiaji kabisa vipi aje humu kuleta fujo.

Hiyo ni dalili ya uchawi na uwanga.

We achana nae tu hajui alisemalo. Mi mwaka jana nilishindwa kukamata fursa kwa sababu ya kiajira na nilikuwa nakula adi m 1 kwa mwezi. Nimepiga chini ili niwe huru kufuatilia mipango yangu ya jkt na nikafanye kinachopenda moyo. Ye anafikiri kila anayetaka kwenda JKT ni muhanga wa ajira. Pumbaffff kabisaaa
 
We jamaa nakuona sana humu ndani JF masaa yote 24, wewe nawe ni Jobless tu kama vijana wanaosubiri nafasi za JKT humu ndani.
Wengine tunaenda huko kwa mapenzi yetu kabisa na tunaipenda hiyo kazi. J3 njoo TPB tawi la Metropolitan (Ukifika pale Posta kwenye yule Askari kwa pembeni utaona hiyo TPB) Ingia ndani, kisha kunja kushoto, tembea kidogo utatazamana na Credit Department, achana na ya kwanza njoo ya pili yake. Utamkuta kijana wa kiume na binti mwingine wa kike mweupe, huyo wa kiume ndo mimi.
Usifikiri kila anayekwenda JKT hana cha kufanya, wengine wana mipango wa kutimiza ndoto zao, kuna watu wana ndoto za Usalama wa Taifa, Polisi, JWTZ n.k hawezi kusitisha kupigania ndoto yake eti kisa waombaji ni wengi.
Nimekujibu hivi maana naona unawakomalia sana watu wanaotaka kuingia JKT 2016, ni vema ukakaa kimya na ukawaacha kama walivyo maana hatuwezi kukata tamaa kwa maneno yako.
mchane huyo NANGA ana mawazo ya kipuuz sana
 
Nimeona nikuongeze like nyingine ya maneno mkuu wangu.

Ni hivi baadhi ya maafrika huwa yana wivu sana na mafanikio ya wengine hata kama bado hujafikia ndo unaanza lazima yataanzisha figisu ili ukate tamaa. Mmoja wapo ni huyo jamaa. Anaonekana anataka kujiunga ila hana moyo wa kiume, kama kweli angekuwa hapahitaji angepita tu akaendelea na mambo mengine mbona majukwaa yako mengi tu na threads zingine hazina wachangiaji kabisa vipi aje humu kuleta fujo.

Hiyo ni dalili ya uchawi na uwanga.

We achana nae tu hajui alisemalo. Mi mwaka jana nilishindwa kukamata fursa kwa sababu ya kiajira na nilikuwa nakula adi m 1 kwa mwezi. Nimepiga chini ili niwe huru kufuatilia mipango yangu ya jkt na nikafanye kinachopenda moyo. Ye anafikiri kila anayetaka kwenda JKT ni muhanga wa ajira. Pumbaffff kabisaaa
Hata Kama Ni Mchawi au Mwanga Hicho Ni kitu kidogo Sana kwangu , Dawa yake Ni ndogo Sana.
 
Nimeona nikuongeze like nyingine ya maneno mkuu wangu.

Ni hivi baadhi ya maafrika huwa yana wivu sana na mafanikio ya wengine hata kama bado hujafikia ndo unaanza lazima yataanzisha figisu ili ukate tamaa. Mmoja wapo ni huyo jamaa. Anaonekana anataka kujiunga ila hana moyo wa kiume, kama kweli angekuwa hapahitaji angepita tu akaendelea na mambo mengine mbona majukwaa yako mengi tu na threads zingine hazina wachangiaji kabisa vipi aje humu kuleta fujo.

Hiyo ni dalili ya uchawi na uwanga.

We achana nae tu hajui alisemalo. Mi mwaka jana nilishindwa kukamata fursa kwa sababu ya kiajira na nilikuwa nakula adi m 1 kwa mwezi. Nimepiga chini ili niwe huru kufuatilia mipango yangu ya jkt na nikafanye kinachopenda moyo. Ye anafikiri kila anayetaka kwenda JKT ni muhanga wa ajira. Pumbaffff kabisaaa
Sawasawa Mkuu, hivi hakuna Updates zozote!?
 
Back
Top Bottom