Panzermeyer
JF-Expert Member
- Jan 21, 2016
- 471
- 325
Aisee. Serikali ingekua inatoa matangazo kupitia njia za habari zilizozoereka zaid kama TV na magazeti ili habari ziweze kuwafikia watu wengi zaidi, nnaimani utapeli ungeounguakiukweli JKT wangetoa hata Tangazo linalosema nafasi zitatoka mwezi wa ngapi mana huku mtaani watu wanapigwa pesa sana.. Taarifa zimesambaa mtaani nafasi zimeshatoka na usaili umeshaanza mda!!! sio kila mtu mjanja wa kufuatilia mtandaoni