Jstar1
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,389
- 1,337
- Thread starter
- #41
nashukur, ngoja nijipange 2021
WaTZ... Hatupendi kushauriana ktk Masilahi..sisi tumebobea kejeli na ktupiana matope !! Sasa Ndg @jastr1. Ona takwimu hiibni muhtasar tuu:-
Huko Gulf (uarabuni pekee) Kuna waKenya wanaofanya kazi za faraja zote Yaani Engrs,Drs,Drivers nk nk zaidi 10,000..
Kuna WaGanda the same..
Kuna Nigerians..Kuna WaSauzi (Medical staffs).., na Kuna waPhikioons nk mk mataifa yote Duniani hujilikana Kama Oversea workers...
Sasa iweje mTanzania akose au asipate shares yake?!!
FYI, migodi yote ya Saudi Arabia imeajiri WaTZ na wa Ghana na waSouth Africans.
Good luck kijana