Anayefahamu mawakala wa kupeleka watu Uarabuni

yaani mkuu, natamani nipate connection hasa, na mwaka 2021, naweza kwenda maana tiari ntakua nmemalza degree, naweza kufanya kwa professional au kibarua, yaani vyovyote tu.

ila professional inaweza nikuta tiari nina kibarua
Sasa fanya hivi.
Ukishamaliza degree uanze kuapply kazi za huko ukiwa bado upo bongo.
Halaf ukishapata kazi inabidi hyo kampuni iliyokupa kazi ikusafirishe kutoka bongo kwenda huko uarabuni hapo ndio utaenjoy maisha.
Lkn usijiroge ukurupuke na kwenda kichwa kichwa bila kuitwa na kampuni maalum utapata tabu sana,yaani utakuwa ni mtumwa tu na hakuna atakayekujali.
Yaani hata ukitupwa juu ya gorofa hakuna anayekujua,ukinyanyaswa hakuna anayekujua.
 
Sasa fanya hivi.
Ukishamaliza degree uanze kuapply kazi za huko ukiwa bado upo bongo.
Halaf ukishapata kazi inabidi hyo kampuni iliyokupa kazi ikusafirishe kutoka bongo kwenda huko uarabuni hapo ndio utaenjoy maisha.
Lkn usijiroge ukurupuke na kwenda kichwa kichwa bila kuitwa na kampuni maalum utapata tabu sana,yaani utakuwa ni mtumwa tu na hakuna atakayekujali.
Yaani hata ukitupwa juu ya gorofa hakuna anayekujua,ukinyanyaswa hakuna anayekujua.
ah , kikubwa nauli mfukoni
 
Rafiki yangu alienda kule Kuwait ... Alimwamin agent wake lkn baada ya yeye kupata mpunga wake walipoteana hatari... Ikafika ananitafuta wasap ... Baada ya muda hakupatikana hadi Leo hii.. Bila shaka kanyang'anywa na simu yenyewe... Sijui yupoje huko...
Komaa tu hapa bongo ndugu Mungu ni Mwema atakupatia riziki
 
ah , kikubwa nauli mfukoni
Sikia nikwambie kitu mdogo wangu kule watu hawazamii Kama south Africa.
Kule ukienda kibinafsi inabidi mfuko uwe umetuna kweli kweli.
Yaani sio umeungaunga ukapata kimilioni moja halaf ndio uende,maisha yapo juu kweli kweli.
Ukiwa na milioni 3 mfukoni hyo ni hela ya kupanga room/gheto kwa mwezi mmoja tu.
Ina maana ukiwa na milioni 10 ni pesa ya kutumia kwa miezi 3 tu na sio rahisi utafute kazi uipate ndani ya miezi 3.
Kuna wahindi wamejazana huko,wabangladesh kila Kona,wafilipino,wapakistan,ambao kazi zao ni madereva taxi,cleaners,vibarua kwenye ujenzi na wengine ni wazururaji tu Kama machokoraa, waghana,wanaigeria na wengi hawana kazi.
South Africa ndio watu huwa wanazamia kwa sababu wengi waliopo kule kazi zao ni kuuza bangi,madawa ya kulevya na ujambazi lkn sio uarabuni.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojionesha hapo juu, wale wa kutafta maisha.

nina mpango wa kujidunga uarabuni hasa hasa kuwait au qatar, kama kuna anaemfahamu agent yoyote, aje pm anipe no. au kama hatojari bas hapa hapa.

Yaani kazi yoyote ilmradi halali na inayoniingizia kipato, bas kama kuna agent matata, naomba mawasiliano nae.

wakuu, nawasilisha kwenu
Kuna mbunge fulani mwanae ndo anafanya hizo mishe kimagendo sana kwa sasa naskia Maana Mtukufu amezuia kwenda huko mkuu maana watu wanaendaga teseka sana huko.
 
Rafiki yangu alienda kule Kuwait ... Alimwamin agent wake lkn baada ya yeye kupata mpunga wake walipoteana hatari... Ikafika ananitafuta wasap ... Baada ya muda hakupatikana hadi Leo hii.. Bila shaka kanyang'anywa na simu yenyewe... Sijui yupoje huko...
Komaa tu hapa bongo ndugu Mungu ni Mwema atakupatia riziki
Hicho ndicho ninachomuelekeza jamaa.
Ukiwa ugenini hauthaminiki unafanywa Kama mdudu tu.
Na raia wa kule Wana uwezo wa kukufanya chochote na hauna pa kushtaki hata polisi wa kule hakuna wa kukutetea wewe.
 
Hicho ndicho ninachomuelekeza jamaa.
Ukiwa ugenini hauthaminiki unafanywa Kama mdudu tu.
Na raia wa kule Wana uwezo wa kukufanya chochote na hauna pa kushtaki hata polisi wa kule hakuna wa kukutetea wewe.
Waarabu wana tabia chafu sana sipendi kabisa kuwaona...maana namkumbuka jamaa kila nikiwaona hawskawii kukunyongea usirudi kabisa bongo... Au ukarudi ukiwa mzee huna jipya,, chonde usifanye mzaa wa kumshawishi ndugu yako aende huko
 
Kama kichwa cha habari kinavyojionesha hapo juu, wale wa kutafta maisha.

nina mpango wa kujidunga uarabuni hasa hasa kuwait au qatar, kama kuna anaemfahamu agent yoyote, aje pm anipe no. au kama hatojari bas hapa hapa.

Yaani kazi yoyote ilmradi halali na inayoniingizia kipato, bas kama kuna agent matata, naomba mawasiliano nae.

wakuu, nawasilisha kwenu
Kua makini na matapeli tu
 
Waarabu wana tabia chafu sana sipendi kabisa kuwaona...maana namkumbuka jamaa kila nikiwaona hawskawii kukunyongea usirudi kabisa bongo... Au ukarudi ukiwa mzee huna jipya,, chonde usifanye mzaa wa kumshawishi ndugu yako aende huko
duuuuuuuhh
 
Sikia nikwambie kitu mdogo wangu kule watu hawazamii Kama south Africa.
Kule ukienda kibinafsi inabidi mfuko uwe umetuna kweli kweli.
Yaani sio umeungaunga ukapata kimilioni moja halaf ndio uende,maisha yapo juu kweli kweli.
Ukiwa na milioni 3 mfukoni hyo ni hela ya kupanga room/gheto kwa mwezi mmoja tu.
Ina maana ukiwa na milioni 10 ni pesa ya kutumia kwa miezi 3 tu na sio rahisi utafute kazi uipate ndani ya miezi 3.
Kuna wahindi wamejazana huko,wabangladesh kila Kona,wafilipino,wapakistan,ambao kazi zao ni madereva taxi,cleaners,vibarua kwenye ujenzi na wengine ni wazururaji tu Kama machokoraa, waghana,wanaigeria na wengi hawana kazi.
South Africa ndio watu huwa wanazamia kwa sababu wengi waliopo kule kazi zao ni kuuza bangi,madawa ya kulevya na ujambazi lkn sio uarabuni.
Tena hayo mataifa ulioyataja yanachapa kazi ki ukweli ndio maana nchi zinaendelea tofauti na wabongo longo longo nyingi na uaminifu ziro.
 
WaTZ... Hatupendi kushauriana ktk Masilahi..sisi tumebobea kejeli na ktupiana matope !! Sasa Ndg @jastr1. Ona takwimu hiibni muhtasar tuu:-
Huko Gulf (uarabuni pekee) Kuna waKenya wanaofanya kazi za faraja zote Yaani Engrs,Drs,Drivers nk nk zaidi 10,000..
Kuna WaGanda the same..
Kuna Nigerians..Kuna WaSauzi (Medical staffs).., na Kuna waPhikioons nk mk mataifa yote Duniani hujilikana Kama Oversea workers...
Sasa iweje mTanzania akose au asipate shares yake?!!
FYI, migodi yote ya Saudi Arabia imeajiri WaTZ na wa Ghana na waSouth Africans.
Good luck kijana
 
Back
Top Bottom