Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 26,362
- 39,842
Waache wauaneeeh🎼🎵🎶Tangu anko magu alipoingia madarakani hadi sasa, ule umoja ndani ya Mbogamboga ni kama umepotea mazima ndiyo maana wanatumia miguvu.
Wanatapatapa tu!
Waache wauaneeeh🎼🎵🎶Tangu anko magu alipoingia madarakani hadi sasa, ule umoja ndani ya Mbogamboga ni kama umepotea mazima ndiyo maana wanatumia miguvu.
Wanatapatapa tu!
🔥🎶🎵Waache wauaneeeh🎼🎵🎶
Na hiyo option iko under pipeline.Emma atakuwepo hadi 2030, labda afe 😅
Hujaelewa nini kinaongelewa.Acheni ndoto za mchana, mtakuja kata gogo bure kitandani. Samia yupo hadi 2030 kwa mujibu wa Katiba. Kama na wewe hukupiga kura kwa kuiamini NRNE shauri yako.
Hizo bad wishes mnazo mombea kumbukeni Mungu haishi mtaani kwenu. Kadri mnavyomtakia mabaya ndivyo Mungu anamuinua.
Kabisa.Na hiyo option iko under pipeline.
Katika dunia ya tatu kinachotumika ni "unanijua mimi ni nani?".Basi Maza ajifunge vyema kiunoni maana anapambana na jitu kwelikweli.
Dunia ya tatu imejaa laana.Katika dunia ya tatu kinachotumika ni "unanijua mimi ni nani?".
Hatimaye umetolewa kuzimuMnamzungumzia nani wakuu? Mbona mnanipoteza kirahisi kama mtoto wa mbwa.
Yeah, sasa naruhusiwa kutumia simu.Hatimaye umetolewa kuzimu
Inabidi uanze kupiga jimuYeah, sasa naruhusiwa kutumia simu.
Hii ni kweli kabisa.kuna tetesi tetesi kuwa kuna kijana mmoja wa Idara alipigwa bastola na akafariki ndan mule.
Sijasema Ikulu.
Ili niwadunde wanaponihukumu?Inabidi uanze kupiga jimu
Na kama wakiwa warembo basi utawachumuIli niwadunde wanaponihukumu?
Nitawachumu, lakini katika mahusiano sitadumu.Na kama wakiwa warembo basi utawachumu
Kule tecdema wanapokula tone tone huwa wanafanywaje?KWAHIYO MAFISADI WAZOMEWE WAONE AIBU?
Inawezekana si unajua wale ni kampuni moja!Halafu anaangalia chini chini. Huwa najiuliza aliiga pozi la Wasira au?
Yeah!Inawezekana si unajua wale ni kampuni moja!