Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 15,759
- 37,370
Hapa ikulu uwezi kuingia na bastora wote tumekatazwa maana kila mtu analakeMuvi inakaribia kuisha ila umeme unakatika katika sana, ngoja tusubirie stima
Hapa ikulu uwezi kuingia na bastora wote tumekatazwa maana kila mtu analakeMuvi inakaribia kuisha ila umeme unakatika katika sana, ngoja tusubirie stima
Wakamfyeka, kwishney! 😎Alipogombea ubunge na kujishindisha wakaona sasa huyu jau.
Enewei simuongelei huyo😀
Inahitajik 20% tu ya kura za wabunge kumuondoa Jamaa madarakani.Tumngoje baba levo na Taletale kama watatimba na hujja binafsi ya kumfurumusha kazini kipenzi wetu
Majamaa wahuni sana.Hahaha 😂
kuna tetesi tetesi kuwa kuna kijana mmoja wa Idara alipigwa bastola na akafariki ndan mule.Hapa ikulu uwezi kuingia na bastora wote tumekatazwa maana kila mtu analake
Simu zinakaguliwa na vijana wa abdul na abdul ndio mkuu wa usalama wataifakuna tetesi tetesi kuwa kuna kijana mmoja wa Idara alipigwa bastola na akafariki ndan mule.
Sijasema Ikulu.
Kabisa.Huyu mjomba namkubaligi sana sio mtu wa kurudi nyuma,nikikumbuka lile vagi lake pale dodoma 2015 naishia kutingisha kichwa tu.
Kuna watu wengi sana wametulia na mengi sana hadi walipofariki.Majamaa wahuni sana.
Yaaan kiongozi mmoja wa Muhimili amelazimishwa kujiuzulu. Na barua kaandikiwa.
Dah! Inaogopesha sana.
Bora aliyaongea mwenyewe kabla hajafa. Maana tusingejua.
KWAHIYO MAFISADI WAZOMEWE WAONE AIBU?Hawa ndo watanzania ninao wajua na akili zao
Jicho nyanya macho ya ganja yale!Sasa nimeelewa.
Dah! Kwanza Imma ukimwqngalia tu anatisha, anamacho fulani mekunduuu!
Jicho nyanya macho ya ganja yale!Sasa nimeelewa.
Dah! Kwanza Imma ukimwqngalia tu anatisha, anamacho fulani mekunduuu!
Halafu anaangalia chini chini. Huwa najiuliza aliiga pozi la Wasira au?🤔Jicho nyanya macho ya ganja yale!
Kinachotafutwa ni utulivu ili watafune nyara kwa kujinafasi.Wakamfyeka, kwishney! 😎
Akiwaangalia anaona hadi vihirizi vyenu.Yale macho yake tu yanaonesha kuwa jamaa ni noma
Tangu anko magu alipoingia madarakani hadi sasa, ule umoja ndani ya Mbogamboga ni kama umepotea mazima ndiyo maana wanatumia miguvu.Kinachotafutwa ni utulivu ili watafune nyara kwa kujinafasi.
Montress hataki wapiga kelele darasani😀
Ndio maana post kule Facebook zimeanza sio:-Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030.
Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani.
Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Pale anaposhindwa au kuacha kutekeleza kazi na majukumu ya kiti chake.
Kama amepatikana na hatia ya kosa la jinai linaloonyesha utovu wa uaminifu.
Njia pekee ni kuanzisha Mchakato Bungeni
Raisi mwenyewe anaweza kuwasilisha Bungeni hati ya kuliomba Bunge lipitishe azimio la kumwondoa kwa madai ya kushindwa au kuacha kutekeleza kazi zake.
Au Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha hoja binafsi Bungeni ya kutaka kumwondoa madarakani kwa misingi ya kuvunja katiba au kukiuka maadili ya umma, na endapo taratibu na idadi maalum ya kura za wabunge zitafikiwa kwa mujibu wa sheria.
Au Yeye mwenyewe aandike barua ya kujiuzulu .
Ila Kumvua uanachama hakumwondoi moja kwa moja madarakani, kwani Katiba haina kifungu kinachomfuta kazi. kiongozi huyo papo hapo kwa kupoteza kadi ya chama chake.
au pengine Labda Itumike njia nyingne ya kumuondoa.
sijasema Kumuwekea Sumu.
Na hili halihusiani na Makamu wa Raisi.
Nimewaza tu.
Dah! 😂Akiwaangalia anaona hadi vihirizi vyenu.