Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

Yule siku ile ile usiku alipigiwa simu na Malecela (RIP) kuwa aandike barua ya kujiuzulu maana amemkosea mkuu.
Na kabla hajaandika . Barua ikaandikwa na kupelekwa kwa katibu wa Bunge kuwa Anajiuzulu 😊😊😊😊.

Ukishangaa na Majaliwa. Shangaa pia ya Tulia Ackson. Alishachukua fomu ya kugombea uspika kwa awamu ya 2. Alaf hakurudisha fomu😊😊😊. Na jina lake likaondolewa.
Kwa namna hii basi tunahitaji katiba mpya ya kumwajibisha huyo anayejifanya mungu mtu.Njia ya kuipata hiyo katiba ni njia ambayo tuliitumia siku ya MO29
 
Kile cheo kinambeba. Pale kutoka ni hadi 2030.

Maana ni mgombea mwenza na kikatiba ni Wananchi wamemchagua kama Makamu wa Raisi.

Or otherwise wafanye hayo ya juu.
Ccm hawashindwi kufanya marekebisho ya Katiba ili Makamu wa Rais awe anachaguliwa bungeni na iwe rahisi kuondolewa na wabunge uchwara waccm.
 
Nadhani ni John Malechela.

Kuna video yake mmoja niliangalia alikuwa anasema, John alimwendea na kumwambia kesho anatakiwa kujiuzulu.
alimuendea usiku wa saa 5.
Walimsumbua mzee wa watu,

Waliona mzee aliyoko karibu na Ndugai ni yeye. Kwahiyo wakamtuma aende kumwambia kamaa ajiuzulu haraka iwezekanavyo.

Na kabla hata hajajiuzulu. Barua ya kujiuzulu ishafikishwa kwa katibu wa bunge . 😊😊😊

Ndugai hakuandika ile barua.

Just like that. Mkuu wa muhimili mmoja anashinikizwa kujiuzulu.
unahisi Bunge lina uhuru?
 
alimuendea usiku wa saa 5.
Walimsumbua mzee wa watu,

Waliona mzee aliyoko karibu na Ndugai ni yeye. Kwahiyo wakamtuma aende kumwambia kamaa ajiuzulu haraka iwezekanavyo.

Na kabla hata hajajiuzulu. Barua ya kujiuzulu ishafikishwa kwa katibu wa bunge . 😊😊😊

Ndugai hakuandika ile barua.

Just like that. Mkuu wa muhimili mmoja anashinikizwa kujiuzulu.
unahisi Bunge lina uhuru?
Kumbe barua ya kijiuzuli hakuandika yeye! 😯.

Maajabu!!
 
Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030.

Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani.

Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Pale anaposhindwa au kuacha kutekeleza kazi na majukumu ya kiti chake.

Kama amepatikana na hatia ya kosa la jinai linaloonyesha utovu wa uaminifu.

Njia pekee ni kuanzisha Mchakato Bungeni

Mkuu mwenyewe anaweza kuwasilisha Bungeni hati ya kuliomba Bunge lipitishe azimio la kumwondoa kwa madai ya kushindwa au kuacha kutekeleza kazi zake.

Au Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha hoja binafsi Bungeni ya kutaka kumwondoa madarakani kwa misingi ya kuvunja katiba au kukiuka maadili ya umma, na endapo taratibu na idadi maalum ya kura za wabunge zitafikiwa kwa mujibu wa sheria.

Au Yeye mwenyewe aandike barua ya kujiuzulu .

Ila Kumvua uanachama hakumwondoi moja kwa moja madarakani, kwani Katiba haina kifungu kinachomfuta kazi. kiongozi huyo papo hapo kwa kupoteza kadi ya chama chake.

au pengine Labda Itumike njia nyingne ya kumuondoa.
sijasema Kumuwekea Sumu.

Nimewaza tu.
Acheni ndoto za mchana, mtakuja kata gogo bure kitandani. Samia yupo hadi 2030 kwa mujibu wa Katiba. Kama na wewe hukupiga kura kwa kuiamini NRNE shauri yako.

Hizo bad wishes mnazo mombea kumbukeni Mungu haishi mtaani kwenu. Kadri mnavyomtakia mabaya ndivyo Mungu anamuinua.
 
Acheni ndoto za mchana, mtakuja kata gogo bure kitandani. Samia yupo hadi 2030 kwa mujibu wa Katiba. Kama na wewe hukupiga kura kwa kuiamini NRNE shauri yako.

Hizo bad wishes mnazo mombea kumbukeni Mungu haishi mtaani kwenu. Kadri mnavyomtakia mabaya ndivyo Mungu anamuinua.
Hili halimuhusu Samia.
😎😎😎😎
 
Kumwondoa madarakani ni rahisi sana. Ni kumvua uanachama wa CCM. Kwisha habari yake. Ndiyo maana kila siku nahubiri kuhusu Mgombea huru kuwa ndilo kimbilio la mageuzi hapa nchini
Katiba haisemi hivyo.

Na hakuna sheria ya hili.

Na kwakuwa hakuna Sheria inayoweza kuvunja katiba ya nchi. Basi katiba ndio inaangaliwa kwenye hili.
 
Acheni ndoto za mchana, mtakuja kata gogo bure kitandani. Samia yupo hadi 2030 kwa mujibu wa Katiba. Kama na wewe hukupiga kura kwa kuiamini NRNE shauri yako.

Hizo bad wishes mnazo mombea kumbukeni Mungu haishi mtaani kwenu. Kadri mnavyomtakia mabaya ndivyo Mungu anamuinua.
Umeripuka kutokea wapi wewe hata hujaeleqa nini kinaongelewa hapa?soma uelewe uko nje
 
Katiba haisemi hivyo.

Na hakuna sheria ya hili.

Na kwakuwa hakuna Sheria inayoweza kuvunja katiba ya nchi. Basi katiba ndio inaangaliwa kwenye hili.
Makamu wa Rais lazima awe mwanchama wa chama cha siasa. Ndiyo maana CCM ilibadili katiba yake ili Rais awe pia Mwenyekiti wa Chama. Kwani ukitaka kumuondoa Rais, unamfukuza uanachama. This is simple
 
Yule siku ile ile usiku alipigiwa simu na Malecela (RIP) kuwa aandike barua ya kujiuzulu maana amemkosea mkuu.
Na kabla hajaandika . Barua ikaandikwa na kupelekwa kwa katibu wa Bunge kuwa Anajiuzulu 😊😊😊😊.

Ukishangaa na Majaliwa. Shangaa pia ya Tulia Ackson. Alishachukua fomu ya kugombea uspika kwa awamu ya 2. Alaf hakurudisha fomu😊😊😊. Na jina lake likaondolewa.
Malecela (RIP) yupi?
 
Yule siku ile ile usiku alipigiwa simu na Malecela (RIP) kuwa aandike barua ya kujiuzulu maana amemkosea mkuu.
Na kabla hajaandika . Barua ikaandikwa na kupelekwa kwa katibu wa Bunge kuwa Anajiuzulu 😊😊😊😊.

Ukishangaa na Majaliwa. Shangaa pia ya Tulia Ackson. Alishachukua fomu ya kugombea uspika kwa awamu ya 2. Alaf hakurudisha fomu😊😊😊. Na jina lake likaondolewa.
Ongeza, Dr Mpango!!!! Si alisikia kama sisi jukwaani kuhusu nia yake ya kupumzika Umakamu wa Rais
 
Acheni ndoto za mchana, mtakuja kata gogo bure kitandani. Samia yupo hadi 2030 kwa mujibu wa Katiba. Kama na wewe hukupiga kura kwa kuiamini NRNE shauri yako.

Hizo bad wishes mnazo mombea kumbukeni Mungu haishi mtaani kwenu. Kadri mnavyomtakia mabaya ndivyo Mungu anamuinua.
Acha ukurupukaji. Pumbavu
 
Back
Top Bottom