Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,525
- 94,705
Haya baba suruali. Ukitelekeza watoto watakua kama kawa!Nimetelekeza wengi sana, inawezekana hata huyo unaelea mi ndio baba nimekuachia ulee maana hatujuani humu
Haya baba suruali. Ukitelekeza watoto watakua kama kawa!Nimetelekeza wengi sana, inawezekana hata huyo unaelea mi ndio baba nimekuachia ulee maana hatujuani humu
Mkuu acha matusi ya kishwaini hapa tutafika pabaya sasa na uwanaume suruali wakoHata wewe unaweza ukawa mwanangu nilimtelekezea mwingine, muulize vizuri mama ako
Saba si kumiTafuta mwanasheria
ninavyojua mtoto chini ya miaka kumi anatakiwa kukaa na mama
unless kuwe na sababu zingine
anzia pia ustawi wa jamii
HahahaHii thread ni kama kikao cha masingo maza,
Sio kwa mapovu hayo![]()
Ha haaaaa dume surualeeeeeMkuu acha matusi ya kishwaini hapa tutafika pabaya sasa na uwanaume suruali wako
Ukisikia kuna mwingine anataka kizalishwa mwambie aje tuHaya baba suruali. Ukitelekeza watoto watakua kama kawa!

Huwezi amini,mwanangu nimemlea mwenyewe toka mimba hadi uzazi,hadi sasa na sikuwahi lalamika.zaidi nilimshukuru Mungu kwa baraka na faraja ya mtoto.Mungu alivyo mwema ni kama mtoto huyu kawa lango la baraka katika kazi yangu.toka nimzae nimebarikiwa mengi,so kumtelekeza huyu mtoto itakuwa laana.Hata hivyo Dada una roho ya kibinadamu sana. Kama alitelekeza mimba basi alinikana mimba sio yake hivyo sioni haja ya kumpa mtoto asie na uchungu nae mn atamlea kimazoea.
Hata mahakamani unaweza kumkatalia kuwa sie mwanae kwaani kama mwanae angemlea.
Na usikute hata jina la mtoto ulichagua pekee yako
Mi mnachonikela mtoto tuliviringishana wote kumtafuta alafu mnatumia neno mwanangu badala ya mwanetuHahaha
Mnakimbia majukumu mkiona watoto wamenona mnaanza watamani,Mungu anawaona
Aisee hata mi nimeshangaa sanaBibie naona bado unampenda jamaa ndo maana anahangaisha serikali ya kichwa chao,una mahusiano na mtu mwingine kisha unabembelezana na baby dady wako eti uumpe mtoto atakupa mwingine na unakuja kuomba ushauri humu aiseeeee pole kwa mwanaume wako wa sasa
Mara malezi yakikushinda utampa ooh asubiri ifike miaka saba aje amchukue be serious mtoto sio jojo kusema ikiisha utamu utaitupa. Hakukuoa kiasi cha kuwa na haki zote za kujichukulia mtoto.
Kiufupi most of the men ni mafirauni tuu...Hahaha habari ndo hiyo mi sio shimo la stress unizalishe, nilee mwano bado unifuate fuate na mijineno yako SHINDWAAA PEPO
Hata hivyo Dada una roho ya kibinadamu sana. Kama alitelekeza mimba basi alinikana mimba sio yake hivyo sioni haja ya kumpa mtoto asie na uchungu nae mn atamlea kimazoea.
Hata mahakamani unaweza kumkatalia kuwa sie mwanae kwaani kama mwanae angemlea.
Na usikute hata jina la mtoto ulichagua pekee yako
Mwenyewe simpi namdanganya tu ili nijipange vizuri kiuchumi,akifika 7years panapo majaliwa tupambane vizuri mahakamani.na meseji zake zote za shombo kuanzia mimba hadi kutohitaji mtoto wakati ule ninazo nimesave kwenye email yangu.Una scenario kama yangu.
Mimi nimeapa sitampa mtoto hata akifikisha hiyo miaka ya kisheria.
Nimewambia ajiandae kwenda kupima DNA na mahakamani athibitishe kuwa ni wake.
Naona na wewe ni single maza maana bado upoHii thread ni kama kikao cha masingo maza,
Sio kwa mapovu hayo![]()
Kwahiyo wakati we umefulia mi ndo nakua cjafulia au?...kwa unavyoonekana tu ww ni baba unaetelekezaga watoto

kwa kweli hata mimi naona karoho kake kazuri khaaaaaaUna roho nzuri sana Latoya . mimi hata sura ya mwanae asingeijua.
Ndo maana nampenda sana DiamondAtakua mwanao cku ambayo pia mm mamaake nilikufa....mnasubirigi Watoto wawe wakubwa na maisha mazuri aliyoyatengeneza mama ake halafu muanze kuomba misaada
No wajua mtu akifikia point hataki hata kuchangia matumizi ya motto,sasa anamhitaji wa nn?siku zote nasema am my son's mom and dad.That's y wanawake tunasema mwanangu badala ya mwanetu kutokana na nyie kukwepa majukumu.Mi mnachonikela mtoto tuliviringishana wote kumtafuta alafu mnatumia neno mwanangu badala ya mwanetu