Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,232
- 1,192
Miss Natgmafuta niko hapa ,na nipo tayari kupima maini na hata figo
Wanakimbilia PM alafu wanakuja kuomba ushauri tena alafu wanashauriwa na waliowakimbilia PM.Na mlivyo na njaaa...hapo mshajipeleka PM mwisho wa siku mnaanza kuliaa liaa..!!
AhahaaaWanakimbilia PM alafu wanakuja kuomba ushauri tena alafu wanashauriwa na waliowakimbilia PM.
Ahàa JamaniWanakimbilia PM alafu wanakuja kuomba ushauri tena alafu wanashauriwa na waliowakimbilia PM.
Ushampata ama bado nafasi ipo? Kuogelea usijali maana wengine tumezaliwa pwani.Me mjumbe tu wakuu
Mahusiano yataannza tar 23 dec hadi tareh 2 January
Benefits
Kula Na kulala pamoja nyumbani kwa mmojawapo
Cost sharing
Qualifications
Age 35_36
HIV negative.(utapimwa hadi maini)
Ujue kuogelea maana Zanzibar itahusika
Usiwe Na stress za mapenzi
Usiwe mchoyo
Mimi nilitongoza janamke humu kwa PM hata halirespond, majitu Mengine sijui yakoje