Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,869
- Thread starter
- #41
Wengine hatujui kudanganya mkuuDah Aisee muwe basi hata mnatudanyanya jamani
Wengine hatujui kudanganya mkuuDah Aisee muwe basi hata mnatudanyanya jamani
Kwani akiambiwa abaki atabaki? Si ndivo mnavopenda kuhit Na kurun au?Huyo wa kwenda kutumika kwa wiki moja alafu biashara imeishia hapo,tafuta kuna viben ten wapo humu
Kwani akiambiwa abaki atabaki? Si ndivo mnavopenda kuhit Na kurun au?
Nikisema nataka wa kunioa atakuwepo hapa?Kweli una maanisha unamtaka mwanaume kweli,wa kukuoa,au tu wakula naye tu raha
Kwa hiyo unataka tu wakukupiga tu mashine,asubuhi,mchana na usikuNikisema nataka wa kunioa atakuwepo hapa?
Kweli wanaume wamepungua sanaNikisema nataka wa kunioa atakuwepo hapa?
Mimi au?Kwa hiyo unataka tu wakukupiga tu mashine,asubuhi,mchana na usiku
Ndio,naongea na wewe hapoMimi au?
Malipo yapo au natoa huduma bure tu.Me mjumbe tu wakuu
Mahusiano yataannza tar 23 dec hadi tareh 2 January
Benefits
Kula Na kulala pamoja nyumbani kwa mmojawapo
Cost sharing
Qualifications
Age 35_36
HIV negative.(utapimwa hadi maini)
Ujue kuogelea maana Zanzibar itahusika
Usiwe Na stress za mapenzi
Usiwe mchoyo
Njoo Na invoiceMalipo yapo au natoa huduma bure tu.
Invoice nishatuma angalia ibox kuna attachment.Njoo Na invoice
Ahaaa poaInvoice nishatuma angalia ibox kuna attachment.
Nimekupa 15% discount
Mimi IPOUnatafuta hela ya Xmass na out za buree...!! Me sina hela ya kununua wanaouzwa au wanaojiuza jf...