Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
- Thread starter
- #41
balaa........... Actions speaks louder than words.
[MENTION]Ennie[MENTION] matendo kapewa lukuki lakini anachotaka sicho ninachotaka
balaa........... Actions speaks louder than words.
Mie sasa nami namtilia mashaka kwani maangalizo yake yanitisha!
Mie sasa nami namtilia mashaka kwani anishurutisha nifanye makubwa!
Mie sasa nami namtilia mashaka kwani kipimo atakacho kina walakini!
Mie sasa nami namtilia mashaka kwani adai nimtembelee kivilevile, duh!
Anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake!
Duh!
Fafanua visuri! mbado sijakuelewa bro. Weka mamba hadharani tukusaidie!.
Hahaha Rutashubanyuma u mean Clouds FM ,?
Ruta Mkuu, labda sikujieleza vizuri, lakini ninachotaka kusema na nasisitiza, ni lazima kuwepo na uwiano na msimamo katika kauli (na matendo). Ninaposema uwiano wa kauli, nakusudia kusiwe na kauli zinazogongana. Sio anasema anataka lakini matendo yake yanadhihirisha kuwa hataki na pengine hajiamini, au anasema hataki kumbe moyoni anaatilika. NWY, "Love process is not cut-to-fit all persons. Every pair is a world of their own. What suits one pair doesn't fit the other".
lol, hapa pana kaukweli hapa. Kuna wengine akishakupenda siku ya kwanza basi nakupenda hupotea kabisa.
Rutashubanyuma kaka,
matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno,
Wapo walosema sana, wakabaki na yao maneno
Kwingineko wakabana, wakidhani twashiba neno.
Lol, japo maneno matamu, yakoleze kwa vitendo
kumbe nami malenga mpya, tehe
hakuna upendo mkali kama kupewa ATM card na pasiwedi ya main account
haya mengine ni aliflela ulela.
Ruta Mkuu, hapo red ni ndipo palipo na msingi wa hoja nzima. Kujiamini, kuaminiana na kujiaminisha... likikosekana moja katika hayo, mapenzi yanakuwa mashakani.MAMMAMIA nilichojifunza kama hajiamini ndivyo huwa hata umanyie nini anakuwa na wasiwasi kuwa pengine unamtegea wakati wewe hauko hivyo................ajiamini na hapo ndipo atajifunza kukuamini...........
Kweli he is smart.......nahisi kama fumbo liko kwenye "kutembelewa"..............inawezekana?Kyaiyembe You are very smart......wengi wameshindwa kuelewa ya kuwa hili ni fumbo ambalo halipaswi kwendewa kasi......kufafanua siwezi yabidi wewe utafune mwenyewe anachotaka nini na mie hicho atakacho ndicho kinaniletea kizungumkuti........lol
bombu haya matenzi murua umejifuinzia wapi nawe naon aumo kwenye chati hivi
Ruta Mkuu, hapo red ni ndipo palipo na msingi wa hoja nzima. Kujiamini, kuaminiana na kujiaminisha... likikosekana moja katika hayo, mapenzi yanakuwa mashakani.
Mmoja anaweza kujiamini lakini akawa hamwamini mwenzake,
Na anayeaminiwa asipojiaminisha, kinachotokea hapo.............
Hapo sasa!Kyaiyembe You are very smart......wengi wameshindwa kuelewa ya kuwa hili ni fumbo ambalo halipaswi kwendewa kasi......kufafanua siwezi yabidi wewe utafune mwenyewe anachotaka nini na mie hicho atakacho ndicho kinaniletea kizungumkuti........lol
Hii ni my since a child, ambition sema tuu a path ya maisha imenipeperushaa mbaali. I'd like to be one of Malenga's in TZ,
Tehe, take this less serious Rutashubanyuma
yaani rutashumbanyuma unajua kujipendeza ww sa si utafute tu mwingine mbona tupo wengi?
Kweli he is smart.......nahisi kama fumbo liko kwenye "kutembelewa"..............ina wezekana?
Rutashubanyuma, wacha nimhudumie mkoloni wangu kwanza bana asije akaninyonya mate, hapa. I will come back to you, na utaenjoy, lol. Tkae this less serously again, lolbombu hebu niandikie tenzi la mahaba motomoto sasa hivi roho yangu ilainike........................
Mkuu, Ulimwelewa kweli Kongosho?Kongosho main account utaijuaje kama hauko ndani ya nyumba ya moyo wangu...................kwanza nishibishe na kuridhika kwako khalafu mengineyo nitakujaa tu bila ya zengwe hata chembe ..lol