Anapodai ushuhuda wa kupendwa........

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Kauli ya kuwa unampenda sasa haina makalio yoyote
Kauli ya kuwa ni yeye tu anayedundia rohoni kwako ni bure
Kauli ya kuwa una mipango kamambe naye ahisi wataka mkopo
Kauli hizi zote yawaje aone kageuzwa kuwa THB bila ya riba?
Anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake!

Kama kauli yangu haithaminiwi hivi kweli kuna mwelekeo?
Kama kauli yangu inadharauliwa hivi kweli ni wangu huyo?
Kama kauli yangu inachezewachezewa tu tutawezana naye?
Kama kauli yangu yachukuliwa ni ya kitapeli hivi ninaaminika?
Anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake!

Mengi nimeyafanya kisa kumpendezesha nafsi yake bila zengwe!
Mengi nimeyafanya kisa kumthibitishia ni yeye tu na hana mpinzani!
Mengi nimeyafanya kisa kumvuta naye alainike na kunilegezea masharti!
Mengi nimeyafanya kisa kutafuta uhalali wa kukubalika kwake tu!
Anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake!

Mie sasa nami namtilia mashaka kwani maangalizo yake yanitisha!
Mie sasa nami namtilia mashaka kwani anishurutisha nifanye makubwa!
Mie sasa nami namtilia mashaka kwani kipimo atakacho kina walakini!
Mie sasa nami namtilia mashaka kwani adai nimtembelee kivilevile, duh!
Anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake!
 
!

Mengi nimeyafanya kisa kumpendezesha nafsi yake bila zengwe!
Mengi nimeyafanya kisa kumthibitishia ni yeye tu na hana mpinzani!
Mengi nimeyafanya kisa kumvuta naye alainike na kunilegezea masharti!
Mengi nimeyafanya kisa kutafuta uhalali wa kukubalika kwake tu!
Anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake!


Bwana Rutashubanyuma

Asante sana ubeti huo umenibamba natamani nijibu kimalenga
Lakini mie hata si malenga
 
Bwana Rutashubanyuma

Asante sana ubeti huo umenibamba natamani nijibu kimalenga
Lakini mie hata si malenga

FirstLady1...............anguka tu jinsi uonavyo nitakuelewa.........busara zako zahitajika sana hapo.........................lol
 
Last edited by a moderator:
Maneno yanapaswa yaendane na vitendo

Matendo si haya wajamani..lemonade
user-online.png
FirstLady1


Today 08:45
#3
JF Premium Member Array


Join Date : 29th July 2009
Location : Mama Mwenye Nyumba
Posts : 13,014
Rep Power : 3067
Likes Received1926
Likes Given2817



[h=2]
icon1.png
Re: Anapodai ushuhuda wa kupendwa........[/h]
quote_icon.png
By Rutashubanyuma
!

Mengi nimeyafanya kisa kumpendezesha nafsi yake bila zengwe!
Mengi nimeyafanya kisa kumthibitishia ni yeye tu na hana mpinzani!
Mengi nimeyafanya kisa kumvuta naye alainike na kunilegezea masharti!
Mengi nimeyafanya kisa kutafuta uhalali wa kukubalika kwake tu!
Anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake!





Bwana Rutashubanyuma

Asante sana ubeti huo umenibamba natamani nijibu kimalenga
Lakini mie hata si malenga​

Kama haya yote hatosheki nayo basi mie naandika nimeliwa...........
 
Last edited by a moderator:
yaani Ruta hivi unanisomaga akili yangu au?mimi kwa kweli nina shida na kauli sielewi nimeshaambiwa hata sielewi na wala sina mbadala maana option iliyopo ni ya kukubaliana tu na kauli, unajua Ruta inakuwa ngumu kukubaliana na kauli kama ulishazikubaligi halafu akaja akaharibu yaani hata aimbe itakuwa ngumu, yaani kwa kweli hata mi nataka ushuhuda wa kupendwa bila kauli kiaje mi sijui,

ahsante kwa kunifanya nifikirie tena hivi unamdhibitishiaje mtu unampenda?maana hata matendo hayana deal sasa hivi unaweza pewa hata nyumba na hamna kitu, maneno nayo ndo hivyo tena,
 
Maneno mengi hayavunji mfupa! Mfanyie vitendo vingi then ongea kidogo,mueleweshe kwa uwezo ulionao huwezi kufanya beyond..

Purple.....mengi kafanyiwa sasa hizi ngebe zatoka wapi?
 
Last edited by a moderator:
Mengi yepi?...............labda you are doing it all wrong.............sema unamfanyia nini tuone uzito wa matendo yako

huo sasa ni utenzi wa siku nyingineyo.la muhimu ni kuwa nataka afanyiwe vitu ambavyo yeye anajitakia kufanyiwa..............lemonade
 
Last edited by a moderator:
yaani Ruta hivi unanisomaga akili yangu au?mimi kwa kweli nina shida na kauli sielewi nimeshaambiwa hata sielewi na wala sina mbadala maana option iliyopo ni ya kukubaliana tu na kauli, unajua Ruta inakuwa ngumu kukubaliana na kauli kama ulishazikubaligi halafu akaja akaharibu yaani hata aimbe itakuwa ngumu, yaani kwa kweli hata mi nataka ushuhuda wa kupendwa bila kauli kiaje mi sijui,

ahsante kwa kunifanya nifikirie tena hivi unamdhibitishiaje mtu unampenda?maana hata matendo hayana deal sasa hivi unaweza pewa hata nyumba na hamna kitu, maneno nayo ndo hivyo tena,

Mamzalendo huo ndiyo mtihani wenyewe wa ya kuwa mavituzi hata yakitolewa siyo kipimo cha penzi kinyume na wengi wanavyofikiria..................
Kama kauli haikuiingii akilini unafikiri yeye atakuonaje? Kumbuka malinganishi na uzoefu wako wa zamani yawezekana kabisa ukawa humtendei huyu mpya haki kwa sababu yawezekana unamhukumu kwa matendo ya mtu mwingine na yeye pengine hayuko vile kabisa.............................hatari ni kuwa akion ahumwamini basi naye atakuwa zito kukuamini akipima ya kuwa kama haaminiki ni kwa sababu na wewe huaminiki.
 
Last edited by a moderator:
ruta,
upendo huonekana kwz vitendo........ Si unajua lile neno 'nakupenda' halina maana siku hizi?

BADILI TABIA Na kwa vile linaonekana halina uzito na ndiyo maana hata siku hizi hatukumbushani ya kuwa tunapendana..................ukweli wabakia mjue mtu wako kwa undani na usiendekeze majungu khalafu mpime yawezekana anapokutamkia anakupenda mwenzio aongea kilichoko moyoni mwake.............................sasa wewe ukimpuuzilia mbali atafikiri pengine unamdharau na hauna utii kwake...........................naona inabidi turudi kwenye khoja ya utii bila ya kutiana.........lol
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom