Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
mkuu Rutashubanyuma hii imetulia sana.
Fredrick Ishengoma ninashukuru sana kwa maoni yako yenye busara sana..............
Ruta nimepoteza track ya hii kitu....umeamua vipi sasa.....ebu tuache kuzunguka mbuyu
Ms Judith pole na masomo kabla ya yote yaelekea wanishauri nisimlazie damu.......duh walakini wajua anataka nimtembelee kivipi?
[MENTION]asante sana kaka Ruta kwa salamu njema, masomo yangu yanakwenda vyema kabisa.
nilipoona huyo wako anadai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake, nikajiuliza kakangu Ruta, kulikoni siku hizi?
but................
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
wewe lipige vyema funda, huku ukimkwida na ushungi wake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
wewe hesabu yake marinda na kuzihina hizo chuchu zake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
wewe kikimbilie kitanda huku ukumvutia huko na maringo yake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
wewe kitoneshe hicho kidonda na yatimize ya moyoni mwake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
mwambie akupe hilo funda, huku ukifaidi nayo mautamu yake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
mwambie na wewe wataka kinda na yeye ndo awe mama yake!
ubarikiwe sana mpendwa
Glory to God!
Otula obungya..............................!asante sana kaka Ruta kwa salamu njema, masomo yangu yanakwenda vyema kabisa.
nilipoona huyo wako anadai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake, nikajiuliza kakangu Ruta, kulikoni siku hizi?
but................
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
wewe lipige vyema funda, huku ukimkwida na ushungi wake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
wewe hesabu yake marinda na kuzihina hizo chuchu zake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
wewe kikimbilie kitanda huku ukumvutia huko na maringo yake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
wewe kitoneshe hicho kidonda na yatimize ya moyoni mwake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
mwambie akupe hilo funda, huku ukifaidi nayo mautamu yake!
anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake,
mwambie na wewe wataka kinda na yeye ndo awe mama yake!
ubarikiwe sana mpendwa
Glory to God!
Sijaingia mitini Rutashubanyuma ni kuwa naona tu bora ufate moyo wako unapenda nini, mwisho wa siku wewe ndio upime uzito wa hiyo kitu.........wewe si ndio mlaji?lemonade hakuna lililoamuliwa hadi sasa zaidi ya kuendelea kupokea ushauri tena wewe tulikuwa tunakusubiri san utueleze kama atembelewe au la.....................ukaingia mitini.....................sasa kazi kwako atembelewe au vivyohivyo?
Rutashubanyuma........kuna asiyeyalilia kweli??Kipipi na wewe unayalilia mahaba?
hukumu tayarNingechangia huu Uzi Ruta lakini niko busy hapa Bongo nafuatilia hukumu ya John Myika tutawasiliana baadae.
Rutashubanyuma........kuna asiyeyalilia kweli??
(provided that kulia sio lazima kila siku utoe machozi for a such fact..lol)
ha haaaaaaaaaaa, kwa raha zao........................usichojua Fixed Point ni kuwa hata wewe kuna vidume wengi umewanyanyasa hata wengine bila ya kukusudia yaani wanakuhitaji nawe hata habari huna...........basi wanaishia kumeza fundo la mate wengine hata kukusogelea wanaogopa kumbe pengine njia ipo wazi...................................kwa hiyo it is all life...................yote ni maisha na mateso ni sehemu yake pia......................ikiwa ni pamoja na kuteswa pia
ha haaaaaaaaaaa, kwa raha zao........................
si ujitaje tu Rutashubanyuma!