Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,303
Ndio wengi wetu tulivyo lazima mtu akitie hila hata kama ni chema
Wewe kipaumbele tu kilikuwa nini wakati wa kampeni usiwafanye watanzania wajingaHuna akili. Nchi haina vipaumbele???
Hebu kasome ilani ujue vipaumbele vya uncle Magu kwa hii miaka mitano. Wahed mbz
Nyani Ngabu mbona unalitaja taja jina langu!
Lekaga gete nkoyi!
Kuna baadhi ya watu hawafahamu kuwa wakati ndege za ATC zinapishana kwenye anga la Ulaya, sisi hapa Ng'wamapalala hatukuwa hata na uwanja wa mpira achilia mbali uwanja wa ndege.
Shuleni tulikuwa tunakaa kwenye mawe tuliyoenda kutafuta na kuyapata mlimani achilia mbali madawati.
Angalau huduma ya afya tulikuwa tunapata kwenye dispensary ya kanisa katoliki ambayo ilikuwa inahudumia zaidi ya kata nzima ya Ng'wamapalala.
Unga tulikuwa tunanunua kwenye duka la kijiji kwa kupanga foleni.
Basi la kutoka Bariadi kwenda Shinyanga lilikuwa linapita mara moja baada ya siku mbili au wiki.
Usafiri wa uhakika wa kwenda Bariadi ilikuwa ni baiskeli.
Kupanga ni kuchagua!
Magufuli anaonesha weakness hata kwa mazuri anayoyafanya
swala la ndege kaonesha ule 'usukuma'
wa kuuliza shati la laki mbili lipo dukani?
Kawaida pesa hailipwi yote na kwa mara moja
yeye kaenda kulipa zote huku anasubiri ndege
style hiyi ya kufanya mambo bila kuhusisha wataalam wa sekta hiyo inawafanya watu wamuone
'mtata' hata kama nia nzuri ipo....
watu wanajiuliza mangapi ya wataalam hajayaasikiliza?
Mbona unaweza kuwa uko mjini umenunua flat screen TV kubwa tu na wala hujiulizi mzee wako aliyekusomesha kwa tabu huko kijijini ndani ndani anafaidika nayo vipi?hivi hizo ndege mwananchi aliyopo kule kijijini mpapa karibu na ziwa nyasa atafaidika vipi? kiukweli kupanga ni kuchagua...
Kama akili yangu ni kila.za yakwako imekufa kabisa toa ubongo tupa jalalani.....Wewe ni kilaz.a kipaumbele tu kilikuwa nini wakati wa kampeni usiwafanye watanzania wajinga kama ulivyo wewe
[emoji106]Priorities zetu hazieleweki
Leta hiyo ilani tuone vipaumbele vyaKama akili yangu ni kila.za yakwako imekufa kabisa toa ubongo tupa jalalani.....
Soma ilani ujue vipaombele pimbi we
Unatafutwa kwenye jukwaa lenu la kina Ivanovic na Cahill
Wewe sio kiwango cha kubishana na Mimi ni mtupu kabisaKama akili yangu ni kila.za yakwako imekufa kabisa toa ubongo tupa jalalani.....
Soma ilani ujue vipaombele pimbi we
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] seriously?Leta hiyo ilani tuone vipaumbele vya
Ndege
Kuwakamata wapinzani
Kuwatukana wafanya biashara
Na kuzuia siasa mpaka 2020
Kukwamisha Ajira
Kukagua wafanya kazi hewa
Hivi ndio vipaumbele vya ilani?
NdioKwa hiyo hatuwezi kununua ndege zetu wenyewe kwa sababu hospitali hazina vifaa vya kutosha?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]A bhalogi ugubhamana du!
Tom.bana ebhe....lentwe gete mashi ga ngoko😀.
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Aagha ghaghagha ghagha
Aibhabhane nyanabhe nakokopala ntwe mpk oleke leshi.....
Nipo huko mkuuUnatafutwa kwenye jukwaa lenu la kina Ivanovic na Cahill
haha subirini mpande bure kama sio starehe .fast jet tu yenyewe watu wanajihoji sembuse hiyo.wenye uwezo wenyewe wangapi mnagombania goli.haha labda iwe bei sawa na mabasi of which ni ndoto la sivo ni mlemle tu so tusijifariji.Nampongeza Rais JPM kwamaana anafanya sasa kupanda ndege isiwe ndoto tena kwa watz.