Anahitajika Gynaecologists mzuri Jijini Dar

Anahitajika Gynaecologists mzuri Jijini Dar

Dynamics

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2024
Posts
214
Reaction score
296
Habari ya asubuhi wadau.

Tafadhali nahitaji msaada wa kufahamu wapi ninapoweza kupata Daktari bingwa mzuri wa magonjwa ya wanawake (Gynaecologists) , either ana hospitali binafsi , Polyclinic au anahudumu katika hospitali binafsi au serikali. Nikipata Jina au hata mawasiliano yake nitashukuru sana.

Natanguliza shukrani
 
Habari ya asubuhi wadau.

Tafadhali nahitaji msaada wa kufahamu wapi ninapoweza kupata Daktari bingwa mzuri wa magonjwa ya wanawake (Gynaecologists) , either ana hospitali binafsi , Polyclinic au anahudumu katika hospitali binafsi au serikali. Nikipata Jina au hata mawasiliano yake nitashukuru sana.

Natanguliza shukrani
Una shida gani kwani?
 
Habari ya asubuhi wadau.

Tafadhali nahitaji msaada wa kufahamu wapi ninapoweza kupata Daktari bingwa mzuri wa magonjwa ya wanawake (Gynaecologists) , either ana hospitali binafsi , Polyclinic au anahudumu katika hospitali binafsi au serikali. Nikipata Jina au hata mawasiliano yake nitashukuru sana.

Natanguliza shukrani
Dr.Colman,Muhimbili!
 
Uhitaji wa Gynaecologist mzuri anayeweza kumsaidia mtu mwenye changamoto ya hormonal imbalance, kuanzia kwenye kumsikiliza vizuri mgonjwa na kujua shida yake haswa, vipimo mpaka kutafsiri majibu na kutoa matibabu sahihi.
Umejuaje ana tatizo la hormonal imbalance?

Na kama kweli ana shida ya hormonal imbalance ,mbona hilo tatizo dogo sana hata daktari wa kawaida tu anatibu sio lazima kuonana na daktari bingwa.
 
Umejuaje ana tatizo la hormonal imbalance?

Na kama kweli ana shida ya hormonal imbalance ,mbona hilo tatizo dogo sana hata daktari wa kawaida tu anatibu sio lazima kuonana na daktari bingwa.
Kipindi cha nyuma amewahi kwenda hospitali na kuelezwa kuwa na hiyo hali baada ya siku zake za hedhi kuvurugika , lakini hilo tatizo halijawahi kufuatiliwa kwa undani kwa maana ya kuonana na wataalamu husika pamoja na vipimo
 
Kipindi cha nyuma amewahi kwenda hospitali na kuelezwa kuwa na hiyo hali baada ya siku zake za hedhi kuvurugika , lakini hilo tatizo halijawahi kufuatiliwa kwa undani kwa maana ya kuonana na wataalamu husika pamoja na vipimo
Aanzie kwenye hospitali za kawaida, kukiwa na haja ya referral watampa.
 
Fix hormonal imbalance kwa kufanya ketogenic diet,mama hata kama utafanya hormonal therapy lakini bado unakula hovyo tatizo halitaisha.
 
Fix hormonal imbalance kwa kufanya ketogenic diet,mama hata kama utafanya hormonal therapy lakini bado unakula hovyo tatizo halitaisha.
Tuseme MTU ana tatizo la mirija kuziba
Akifix hormone anaazaaje happy
Matatizo ya uzazi yanatofautiana sio kila kitu hormones
 
Back
Top Bottom