Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Ninazo za kukununua hata wewe mazima!Maisha ni kusaidiana, kama wewe unazo akili nyingi, niazime basi kidogo, na mimi nitakupa hela maana najua hizo huna
Ninazo za kukununua hata wewe mazima!Maisha ni kusaidiana, kama wewe unazo akili nyingi, niazime basi kidogo, na mimi nitakupa hela maana najua hizo huna
Umemlala mama mchungaji wakati si mkeo? Loooh tunaelekea wapi sijui!Ninazo za kukununua hata wewe mazima!
Mambo yameivaaaaaaa........Umemlala mama mchungaji wakati si mkeo? Loooh tunaelekea wapi sijui!
Duh... Wee shemeji yangu nini?
Baba mwenye nyumba uliyekula tozo
Baba mwenye nyumba uliyekula tozo
Mzungu kaipa Yanga ushindi, mji wa njanooooooooooooooooMkuu October usiache kwenye kwa yule Mhindi wa mabango ya IMANI, UPENDO na MIUJIZA
Huenda mambo yakabadilika.
Kodi laki NNE kwa mwezi!!!!! naenda kupata chai ntarudiNina kajinyumba kangu kadogo kakushikia kiwanja Goba kunguru, kana vyumba viwili vya kulala, sebule, chumba kimoja kina choo na bafu ndani na pia kina choo cha wageni jirani na sebuleni.
Yaliyonikuta najuta kuzaliwa jamani, natamani nilie, kilio hakitoki, natatamani niende kwa Mwamposa nikanywe lori zima la maji ya upako, na nikitoka huko niende kwa Sharifu Majini, maana mambo yamenifika pabaya.
Kwenye kajumba kangu haka, kuna jamaa yangu pia ni dalali wa nyumba, nilipokuwa nakamalizia akaniambia kuwa anataka kuniletea mpangaji wa kunilipa laki 4 kwa mwezi, nikacheka kizungu, nikasema mlete fasta asije akalaghaiwa na madalali wenye nyumba za mbavu za mbwa wamuharibu na kunghiribu akili.
Kweli akamleta binti mmoja mkali sana, amemliza chuo, kapata kazi kampuni moja ya fedha hapo Mlimani City. Binti kaja na kibunda chake mkononi, kasema anataka kulipa miezi sita.
Nikakubali, nikabeba mzigo na kuondoka.
Kutokana na usasa wa mifumo ya umeme na maji na ya kiulinzi binti alikuwa akinipigia simu mara kwa mara kuniuliza kile na hiki.
Tukazoeana tukawa tukikutana mara kadhaa mwisho wa wiki, na taratibu taratibu nikajikuta kamoyo kanadondokea upande wa mashariki ya uwanja.
Halaula, mara penzi likawa jau, mambo moto moto, yakaongezeka hadi yakawa mpwitompwito.
Siku zikaenda, binti mwili unabadilika, tumbo linaongezeka, hasemi kuwa ana mimba, mimba ilipofika miezi sita ndio anasema ana ujauzito wangu, kuhama hataki, kutoka hataki, kulipa kodi hataki, anasema hiyo ni nyumba yake yeye na kiumbe wake ajaye.
Jamani, hivi huyu Mpalestina anataka kunipora nyumba hivihivi mchana kweupe, ananionea kwasababu mimi ni msukuma Mshamba...
Sasa hajui, nimeenda kuwatafuta madalali wa kupiga minada nyumba, watangaze na gari yao kuwa hiyo nyumba inadaiwa na benki na Jumamosi ndio mnada wenyewe. Tayari nimesha mseti mnunuzi feki. Kuanzia kesho gari inapita mitaani na maspika jioni mida ambayo amerudi kazini, na mlangoni wataweka notice yao ya mnada.
Jumamosi atake asitake atatoka.
Sanasana atapata grace period ya siku moja tu...
Hiiiiiiiiiiiii baghoshaaaaa
Sasa kama yumo humu si umeliwa popoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nina kajinyumba kangu kadogo kakushikia kiwanja Goba kunguru, kana vyumba viwili vya kulala, sebule, chumba kimoja kina choo na bafu ndani na pia kina choo cha wageni jirani na sebuleni.
Yaliyonikuta najuta kuzaliwa jamani, natamani nilie, kilio hakitoki, natatamani niende kwa Mwamposa nikanywe lori zima la maji ya upako, na nikitoka huko niende kwa Sharifu Majini, maana mambo yamenifika pabaya.
Kwenye kajumba kangu haka, kuna jamaa yangu pia ni dalali wa nyumba, nilipokuwa nakamalizia akaniambia kuwa anataka kuniletea mpangaji wa kunilipa laki 4 kwa mwezi, nikacheka kizungu, nikasema mlete fasta asije akalaghaiwa na madalali wenye nyumba za mbavu za mbwa wamuharibu na kunghiribu akili.
Kweli akamleta binti mmoja mkali sana, amemliza chuo, kapata kazi kampuni moja ya fedha hapo Mlimani City. Binti kaja na kibunda chake mkononi, kasema anataka kulipa miezi sita.
Nikakubali, nikabeba mzigo na kuondoka.
Kutokana na usasa wa mifumo ya umeme na maji na ya kiulinzi binti alikuwa akinipigia simu mara kwa mara kuniuliza kile na hiki.
Tukazoeana tukawa tukikutana mara kadhaa mwisho wa wiki, na taratibu taratibu nikajikuta kamoyo kanadondokea upande wa mashariki ya uwanja.
Halaula, mara penzi likawa jau, mambo moto moto, yakaongezeka hadi yakawa mpwitompwito.
Siku zikaenda, binti mwili unabadilika, tumbo linaongezeka, hasemi kuwa ana mimba, mimba ilipofika miezi sita ndio anasema ana ujauzito wangu, kuhama hataki, kutoka hataki, kulipa kodi hataki, anasema hiyo ni nyumba yake yeye na kiumbe wake ajaye.
Jamani, hivi huyu Mpalestina anataka kunipora nyumba hivihivi mchana kweupe, ananionea kwasababu mimi ni msukuma Mshamba...
Sasa hajui, nimeenda kuwatafuta madalali wa kupiga minada nyumba, watangaze na gari yao kuwa hiyo nyumba inadaiwa na benki na Jumamosi ndio mnada wenyewe. Tayari nimesha mseti mnunuzi feki. Kuanzia kesho gari inapita mitaani na maspika jioni mida ambayo amerudi kazini, na mlangoni wataweka notice yao ya mnada.
Jumamosi atake asitake atatoka.
Sanasana atapata grace period ya siku moja tu...
Hiiiiiiiiiiiii baghoshaaaaas
Hutaki?Kodi laki NNE kwa mwezi!!!!! naenda kupata chai ntarudi
MweeeeS
Sasa kama yumo humu si umeliwa popoma🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu October usiache kwenye kwa yule Mhindi wa mabango ya IMANI, UPENDO na MIUJIZA
Huenda mambo yakabadilika.
Kwahy umepiga miti asaivi unamkataa mke wako uyoHutaki?
Na wewe Jenga yako pangisha buku jero kwa mwezi, hata Mia mbili hamna atakaye kuuliza
Umetuozesha?Kwahy umepiga miti asaivi unamkataa mke wako uyo
Kwahy wew ulitegemea atabeba nn au ulizan atabeba mafenesi badal ya mimba!?Umetuozesha?
Maembe ng'ong'oKwahy wew ulitegemea atabeba nn au ulizan atabeba mafenesi badal ya mimba!?
Aya kwa kukushauri Mkuu nadhani uyo ndio mke mtarajiwa usimfurumushe ,mpelekee moto mjenge familia mjengo si unao apoMaembe ng'ong'o