mwakijembe
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,638
- 2,293
Alitakiwa alete ufafanuzi hapahapa.
Kwanini atake ufafanuzi pembeni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndio hapo sasa. Kimsingi Mwigulu hana hoja na ni mtu anayeweza kwenda kuhutubia watu wenye uelewa finyu, lakini kwa huku jukwaani kwa watu wenye uelewa mpana amegeuka kituko. Hayo ndio madhara ya kutegemea vyombo vya dola kufanya siasa, siku ukiingia sehemu inayotegemea uwezo unachemsha.