Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Mwigulu Nchemba aliwahi kukiri na kudai siku Mh. Tundu Antiphas Lissu anamiminiwa risasi za kuweza kumwangusha tembo, alipigiwa simu!
Sawa, siku hiyo Mbunge mwenzake anamiminiwa risasi alipigiwa simu, sasa yapo maswali yanayohitaji majibu pia...
Sawa, siku hiyo Mbunge mwenzake anamiminiwa risasi alipigiwa simu, sasa yapo maswali yanayohitaji majibu pia...
- Je siku Clouds FM inavamiwa na majambazi yenye silaha usiku wa manane pia alipigiwa simu?
- Je siku Waziri mwenzake.Nape Nnauye, anatolewa bastola hadharani mchana kweupe alipigiwa simu?
- Je siku mwanaharakati, Ben Saanane, anapotezwa alipigiwa simu?
- Je siku mwandishi Azory Gwanda anatekwa na kupotea alipigiwa simu?
- Je siku mwana muziki Roma na wenzake wanatekwa alipigiwa simu?
- Je siku maiti zinaokotwa ufukweni mwa bahari kwenye viroba alipigiwa simu?