cctv

CCTV stands for Closed-Circuit Television. It is widely known as video surveillance.

Unlike regular television broadcasts that are sent out to the public, "closed-circuit" means the video feed is transmitted privately to a specific, limited number of monitors
  1. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania CCTV footage shows how 8 students from utumishi Girls Academy started the fire that has claimed 16 students life and more than 71 others injured

    A CCTV clip now circulating online has sparked fresh debate kuhusu chanzo cha moto uliosababisha maafa katika Utumishi Girls Academy. The footage, which has been widely shared on social media, allegedly shows a group of students moving around the dormitory area before the fire broke out. Video...
  2. Da Dona

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Museveni Cracks Down on Shs31Bn CCTV Bribery Scandal, Sends Top Officials on Forced Leave

    Image Courtesy of Daily Monitor UG President Yoweri Museveni has ordered three senior officials from the Ministry of Internal Affairs and the Uganda Police Force to proceed on a six-month forced leave over a Shs31 billion CCTV maintenance bribery scandal linked to Uganda’s national...
  3. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya kisa cha mtoto aliyetambaa kuingia gari ya jirani Arusha, serikali ijitafakari kuhusu sheria ya CCTV kuelekezwa mitaani

    Hapa karibuni kumekuwa na kisa cha mtoto aliyetambaa hadi ndani ya gari ya jirani, jambo ambalo bila CCTV kungekuwa na tuhuma za kuteka, uchawi na hata kuletea mtuu kuuwawa au kuungwa. Lakini wakati tukitafakari hili tukumbeke kwamba hivi karibuni serikali imepiga marufuku CCTV kuelekezwa zaidi...
  4. mcTobby

    JamiiForums Tanzania Ujasusi: Mauaji ya afisa wa ngazi za juu wa Hamas yaliyorekodiwa kwenye CCTV za jiji la Dubai

    Dubai ni sehemu ambayo wengi wetu hutamani kwenda kutokana na Hali na hadhi ya kuwa jiji la kifahari Duniani .. majengo Mazuri kama Burj khalifa, , ulinzi mkali hoteli za kifahari kiwanja kizuri cha ndege na mambo mengi yanayofurahisha na kuufariji moyo.... Lakini kwa wakati mmoja jiji la Dubai...
  5. O

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mystery Deepens After CCTV Reveals Final Moments of 22-Year-Old Woman Before Fatal Kileleshwa Airbnb Fall

    Fresh details have emerged in the death of 22-year-old Consolata Githinji after CCTV footage captured her final movements before she fell from the sixth floor of an apartment building in Kileleshwa, Nairobi. According to investigators, the young woman arrived at the apartment complex at around...
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) yakanusha taarifa usajili wa CCTV kwa watu binafsi

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imebaini kuwepo kwa taarifa zisizo sahihi zinazosambazwa mitandaoni kuwa kila mwenye kamera za usalama (CCTV) anatakiwa kujisajili na Tume hiyo. Kupitia ufafanuzi wake, Tume imeeleza kuwa si kweli kwamba kila mtu binafsi mwenye kamera za CCTV anatakiwa...
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Habari za muda huu wana-JF, Kuna taarifa muhimu sana kutoka Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) ambayo kila mwenye biashara, ofisi, au anayetumia CCTV nyumbani kwake anapaswa kuijua mapema ili kuepuka faini na mkono wa sheria. Kwa ufupi, kulingana na sheria ya sasa, ni kosa kisheria...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu kafunga CCTV Camera chumba cha msaidizi wa kazi, nimemwambia anakosea

    Nina rafiki ninayefanya naye kazi, sasa kutokana na ubize wa kazi pamoja na mkewe, waliamua kufunga kamera kwenye nyumba yao ili waweze kujua kinachoendelea wanapokuwa nje ya nyumba. Nyumba yao ni ya vyumba vitatu, ambapo kimoja anatumia msaidizi wa kazi za ndani ambaye pia analala na mtoto wao...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Mnaofunga CCTV na mnaotumia mnijibu hili swali

    Je, kuna CCTV camera ambazo ukizifunga zinaweza kukupigia alarm wakati ambao wewe ungetaka ifanye hivyo? Mfano usiku, ninalala saa 5, kwa hiyo kuna option ya kuset kwamba kuanzia hiyo saa 5 usiku ninapolala hadi saa 11 alfajiri, akitokea mtu au kiumbe kikapita nje ya nyumba yangu au kusogea...
  10. Fbn

    JamiiForums Tanzania Lengo lao la kutaka CCTV camera ziwe na usajili ni nini?

    Turudi nyuma tukio la lissu kupigwa risasi eneo wanapoishi wabunge.CCTv zote ziliondolewa na kulikuwa hakuna usajili. Nilichogundua sehemu zita kazokuwa na CCTv wakifanya utekaji wao wataweza kuzibiti taarifa na kukanusha kama hakuna tukio. Na huu usajili utaweza kujua jirani ,location na wapi...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini likitokea tukio ambalo serikali imefanya CCTV za jirani zinachukuliwa kwa nguvu na wewe unaunganishwa kwenye kesi

    Matukio Tanzania yanatisha sana. Sehemu ambayo iliona tukio la wavaa soski na bunduki tena ni serikali wakijua kuwa umeonesha walichokifanya basi umekwenda na maji. Kwa sasa kabla ya kwenda kuteka watu wanachunguza nyumba za majirani kama zina CCTV na wakijua na wewe unakuwa mmoja wa kesi zao.
  12. M

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Tunafanya utafiti tusajili CCTV Camera ili unachokiona na sisi tukione

    Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Albert Chalamila amesema kwasasa wanafanyia utafiti camera zinazofungwa majumbani kwa watu au sehemu mbalimbali nazo zisajiliwe kama ndege ambazo hazina rubani(drones) kwa sababu baadhi ya camera hizo hutumiwa vibaya na watu kuchunguza maisha ya watu binafsi...
  13. Fbn

    JamiiForums Tanzania Mbinu za kujisafisha kwa mataifa mengine zinvyozidi kuonesha udanganyifu wenu serikali ya CCM. Na hili la UN limebuma

    Picha anayoonyesha Kombo baada ya kumbabatiza Katiba Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayosema ni ofisini kwa Katibu Mkuu, siyo kweli. HAIKUWA OFISINI kwa maana nyingi, hakuna, Mkutano rasmi wa Kombo na Katibu Mkuu uliofanyika hili alipokea document tu Mazingira ya ofisi za Katibu Mkuu wa UN ni...
  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kuna video ya CCTV inaonyesha polisi wanapiga vijana lakini kuna kivuli kinatembea kwa nyuma. Je, kuna matumizi ya AI?

    Angalia kwenye barabara, kuna kiumbe hakionekani vizuri kinatembea Isije ikawa wataalam wa ku edit videos na kutumia AI wapo kazini Kufikia sekunde ya 37, utaona kiumbe kingine kikionekana upande wa pili wa gari nyeusi, kikikimbilia kuelekea kwa mwenzake karibu na gari hilo. Baada ya hapo...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Polisi wanalazimisha biashara ns nyumba zenye cctv kufuta picha.

    Kama una cctv ambayo imechukua picha zozote za maandamano, tafadhali hamisha hizo picha haraka na kuzitunza. Wanataka dunia isijue kilichotokea. Kama una ndugu Unajua ana cctv mfikishie ujumbe. Wa record hizo taarifa zote na kuzificha. Polisi wanaanza kupita kwenye biashara za watu kufuta...
  16. Ashampoo burning

    JamiiForums Tanzania Wizi wa Karne! Benki Kuu Yaibwa Bila CCTV Kuona – Hela Zaidi ya Bilioni 180 Tsh Zimepulizwa

    Tarehe 8 Agosti 2005, Jumatatu pale Ceará, Brazil – mambo yalilipuka! Wakati walinzi wa benki walikuwa kwenye ukaguzi wao wa kawaida ndani ya chumba cha hazina, wakakutana na kitu cha ajabu sana. Mbele yao, shimo kubwa limetobolewa sakafuni, na kumbe si mchezo – zaidi ya tani 3.5 za hela...
  17. Mwanza CCTV CAMERA

    JamiiForums Tanzania Fundi CCTV camera, Mwanza

    Offer offer offer!!!! Pata complete set ya cctv camera 4 ikiwa na vitu vyote pamoja na ufundi kwa bei ya 750,000 tu ✓ufundi bure ✓tunamfata mteja popote alipo kwa gharama Zetu ✓camera zetu ni high quality ✓zina nasa sauti hivyo unaweza kusikiliza maongezi ✓zina mwanga mzuri hata kama ni...
  18. Mwanza CCTV CAMERA

    JamiiForums Tanzania Tunafunga CCTV Camera, tupo Mwanza

    Tunafunga CCTV camera, alarm systm, Electric Fence, Remote gates nk Tunafunga camera za ulinzi majumbani, maofisini, mashuleni, hospitali, migodini, mashambani nk. Tunaunga mifumo yote kwenye sjmu ya mkononi hivyo utaweza kuona matukio yote kwenye simu yako ukiwa popote pale. Tunafunga fensi...
  19. Gordon Technology

    JamiiForums Tanzania Fundi Wa Cctv Camera in Mwanza

    Piga 0746373222. Je? Unaishi mkoa wa mwanza au mikoa ya kanda ya ziwa na umekuwa unajiuliza wapi utapata mafundi wa cctv camera(Specialists of security system) ndani ya mwanza. Km jibu ni ndiyo basi majibu yako ni rahisi sana wasiliana nasi kwa kupiga namba hiyo hapo(0746373222) na utapata...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Cctv video: Kuweni makini mnapokuwa mnarudi majumbani usiku, Anusurika kuvamiwa na majambazi Getini

    Hii imetokea 10/08/2025, Goba madale karibu na Joy Eslava , mdada alikua anasubiri kufunguliwa geti alisahau remote ndani. Wakati anasubiri, hao jamaa wa boda wakamvamia. aliweza kuwakimbia ila kaumia mkono walimkata na kisu, pia kaumia jicho, vioo viliingia kwenye jicho moja. Asubuhi amesema...
Back
Top Bottom