Ana kwa ana na Mwigulu Nchemba: Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2020

Hujawahi kusaidi mtu yoyote wewe na wizara uliyohudumu ni wauwaji pamoja na elimu yako ni sawa na panga butu tu huna lolote jipya zaidi ya mchumia tumbo.
Huna taarifa hata kidogo, fuatilia upate ukweli ndio uje uandike. Kama kawaida nadhani unatamani niishi kama mbwa koko. nikuhaikikishie watafute wenye taarifa wakwambie nani aliwasaidia walipokuwa na matatizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa na wewe p hayo ndio maswali ya msingi mi nilijua utakuja na maswali ya maana unaanza kuuliza personal issues
Siku hizi huna vya maana mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Hito, laiti ungelijua...,
Wewe being a learned brother, you should have known better!, ndio maana wengi wa mawakili wa siku hizi hawakaribii hata robo ya Murtaza Lakha!.

Na huku kwenye uandishi pia kuna areas of interest and specialization, mimi nime specialize kwenye interviewing, na maswali yangu kiukweli ni very simple and basic, ila kujibu sasa ndio issue, wewe msubirie ajibu ndipo utaelewa nimeuliza nini, japo ni vijiswali simple na vya kawaida sana, lakini Mhe. Mwigulu Nchemba

anaweza kujifanya hajaviona au ameisha log out kwa hoja kuwa maswali aliyoshayajibu yametosha!, tumwache aendelee na shughuli nyingine za ujenzi wa taifa.

P
 
Nimemuuliza kuhusu Skafu na ashirio lake hakujibu.
Ni haki tukisema Skafu yenye bendera ya Taifa inatumiwa kama alama ya Uzalendo.

Hata hivyo, ushahidi unazidi kujitokeza kwamba Uzalendo si mavazi, nyimbo au mapambio.

Katika vitu vitakavyo baki katika kumbukumbu ni jinsi Mwigula Nchemba '' alivyoshiriki kwa kujua au kutojua'' kwa kusaidia ''accomplice'' au kwa kuficha 'cover up'' damu nyingi iliyomwagika akiona kwa macho yake.
Watu walivyoteswa akiona na akijua bila kuchukua hatua

Watu wanaopolewa katika mito, wanakutwa katika fukwe, wanatoweka bila kujua walipo hata makaburi yao

Hayo yote yametokea Mwigulu akiwa waziri na alitoa kauli nyingi za cover up

Mwigulu hana haja ya kueleza privately , kuna jambo moja tu akumbuke na hili nilielezwa na mmoja wa wazee wangu '' Kwamba damu ya mwanadamu inanuka'' na damu haimwagwi kama maji.

Damu ya mwanadamu ina tabia ya ''kurudi'' na kuwawinda ''haunt'' wahusika.
Haitokei siku moja inaweza kuchukua hata miaka 20, lakini ipo siku itarudi tu, hilo akae akijua

Mwigulu, leo unaona upo vizuri, siku damu zitakapoanza kunuka na ku haunt utaelewa nini uzito wa lita ya damu ukilinganisha na lita ya maji au mafuta.

JokaKuu Pascal Mayalla Mwigulu Nchemba
 
Wewe kwisha habari yako, ulinyanyasa na kuwatesa sana watu, ulijivua ubinadamu, ukajivisha ukatili, ukasahau kuwa cheo ni dhamana. Leo upo Unaishi kwa hofu ya kupoteza ubunge. Pole sana. Ndio ujifunze. Wakati mwingine usiwe limbukeni wa cheo. Waambie na wenzako.
Huyu @ Mwigulu angekuwa kwenye jamii zilizo staharabika angekuwa gerezani. Anajiita msomi lkn angalia hata issue ya Nondo Abdul ilivyo mwacha uchi.
 
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.

View attachment 1365715

Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Umeamua kufanya kampeni kimtindo
Uvae usivae haitusaidi
Kwani wewe nani kwenye maisha ya MTz hebu tuondolee ujinga wako.
Naingoja siku ya hukumu ya Bwana Mungu utajibu maovu yako
Jehanamu kama ipo basi nadhani ungetubu kwanza umrudie Mungu wako
Machozi ya WaTz hapo juu yetu na familia zenu 4 generation
Upo humu scarf scarf ukiacha kuvaa na nguo za naniliii uje humu utuambie

Mada ya kipuuzi sana
Next...
 
Kiuchumi nawahamasisha zaidi walime ALIZETI, COMPARATIVE ADVANTAGE

Mheshimiwa, naona unajibu baadhi ya masuali khasa ya uchumi kwa kuonyesha unafahamu kwa uzuri juu matatizo ya wananchi kuinuka kiuchumi.

Kuna post umeongelea modernising prices hapa sijakuelewa kama wamaanisha hii au wamaanisha modernising processes.

Kama ni prices sidhani zipo chini sana ila kama wamaanisha processes basi utakuwa waongelea process nzima ya ukusanyaji, usafirishaji hadi kwenye prosessing plant ili kupata bidhaa bora, naomba ufafanuzi.

Pili, je wadhani Alizeti ndo product pekee mkoani Singida ambayo inaweza kumnyanyua mkulima kiuchumi?

Kwa sababu ukiongelea coparative advantage wamaanisha kumfanya mkulima azalishe bidhaa yake hiyohiyo moja kwa ufanisi zaidi.

Products zingine ni zipi?

Ukiwa mchumi unaona vipi wazo la kuutengeneza mkoa wa Singida kuwa processing zone kwa baadhi ya bidhaa kwa kujenga viwanda vya kisasa?

Hivi wachumi kama wewe mnabinywa na mambo yapi kuweza kuamua ufanye utakavyo kwenye eneo lako la Ubunge?

Je ni mgawanyo wa mapato kutoka serikali kuu au mapato ya kimkoa ndo yanakwamisha?

Ukiwa mchumi unadhani kipi ni muhimu kuendeleza mkoa ni fedha kutoka serikali kuu au ni zile za mapato ya kimkoa?
 
Mwigulu, leo unaona upo vizuri, siku damu zitakapoanza kunuka na ku haunt utaelewa nini uzito wa lita ya damu ukilinganisha na lita ya maji au mafuta.

JokaKuu Pascal Mayalla Mwigulu Nchemba
Mkuu Nguruvi3, kujua nani kamwaga damu ya nani on a line of duty na kutomtaja, hakupelekei karma yoyote kwa Mwigulu Nchemba na kujua huko hakumfanyi yeye kuwa responsible or an accessory before the fact or after the fact.

Mfano, on the line of duty, Mwigulu Nchemba anamjua aliyempoteza Ben Saanane, Azory Gwanda na waliomshambulia Tundu Lissu, lakini hawataji, kutowataja kwake hakumsababishii hatia yoyote, wala hatapata adhabu yoyote ya karma.

Hata waliotekeleza uovu huo, kama wametekeleza kwa amri halali on the line of duty, pia wanakuwa hawana hatia yoyote kwasababu wao walikuwa wanatimiza wajibu wao, na kama wameajiriwa kumwaga damu na hiyo ndio kazi yao, wakimwaga damu yoyote kwa amri halali, huko ni kutimiza wajibu wao na damu hiyo haitakuwa juu yao, ni kama mnyongaji, au wanajeshi vitani, sheria ya vita inataka wa target military targets na kama ni kuua, waue wanajeshi na sio civilians, lakini vita haina macho, au kombora halichagui nani mwanajeshi na nani civilians kama Hiroshima na Nagasaki, hadi sisimizi hakusalia, sasa wanajeshi vitani wanapoua innocent civilians damu yao haiwi juu ya wanajeshi hao bali aliyeanzisha vita hiyo au aliyetoa amri hiyo.

Hivyo damu ya Ben Saanane, Azory Gwanda (if shed) na Tundu Lissu ni juu ya waliopanga na sio waliotekeleza!.
P
 
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.

View attachment 1365715

Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Nakukubali Sana mheshimiwa utendaji wako sio wakukurupuka siku moja mungu atakujalia kwani tayari mwanzo ulishaonekana mungu akujalie uzima uwatumikie wana iramba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal Mayalla, Paskali
Kwanini asijibu Maswali yako ambayo umeuliza public.

Mathalani, majina aliyoandikishwa shule ya msingi miaka ya 80; je ndiyo majina hayo hayo aliyatumia Secondari kama alifaulu/kuchaguliwa kwenda Iliboru au alirudia.

Kama alirudia(ambapo haikuwa ajabu kama ni kweli, maana wengi tu walirudiaga miaka ile kwa upungufu wa nafasi)

Wanyiramba kwa asili hawana majina ya Ng'wigulu (Mwigulu) Nchemba hili jina lina uhusiano wowote na Sukumaland? Kama ndivyo, je ni ubatizo au??

Akitujibu public atafanya vyema sana.

Wasalaam



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu we Mwigulu acha utoto we dogo, umeleta uzi hapa jukwaani kwa mbwembwe na ukasema utatoa majibu, saa unataka watu wakufuate ukatolee majibu pembeni!

Kwanini badala ya kuleta uzi hapa usingewaalika watu huko pembeni ukawajibie huko? Huna uwezo wa kujibu maswali ya msingi, na sio ww tu, ni kuanzia mwenyekiti wako mpaka wanaccm wenzako wote. Ndio maana mnaishi kwa kujipendekeza ili mpate ulaji.
Alitakiwa alete ufafanuzi hapahapa.

Kwanini atake ufafanuzi pembeni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom