Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,072
- 74,485
Kweli picha na maandishi yanaishi
ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ
Kweli picha na maandishi yanaishi
Una maana huu ubatizo maarufu wa moto?Jee unajua ni kwasababu gani alitumbuliwa?.
Mambo mengine acheni!, hata ikitokea Mungu akampenda zaidi na akamuita KWAKE leo, Mwigulu anakwenda straight peponi, zipo taarifa kuwa wakati akiwa waziri, Mwigulu alibatizwa, na ubatizo ni kumkataa shetani na mambo yake yote aliyakataa!.
P
Hii ni dhambi kubwa alifanya mwigulu kumtumia huyu jamaa ka kitendea kazi cha kuombea kura. Hii nayo haitamuacha salama.Mwigulu Nchemba, huyu mhanga wa tindikali, Musa Tesha, uliyekuwa ukimtumia kujinadi kwa wananchi, hivi sasa yuko wapi?
Je waliohusika, uliokuwa ukidai ni wanaChadema, walipatikana?
View attachment 1366739
View attachment 1366742
Mheshimiwa usiache kupita kwenye uzi wetu pendwa "kula tunda kimasihara" utupe na wewe japo ushuhuda kidogo
Amekimbia kiti moto! Cheza na wa-TZ wewe! Wameanza kupekenyua mpaka mauaji ya Ben Saa8, bomu la Soweto, kesi ya Rwakatale!Hatimae wazir kachanja mbuga
Tundu Lissu alipigwa risasi wew ukiwa waziri wa mambo ya ndaniKuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa
Mwigulu Nchemba nakuuliza Leo Mara ya pili,Ben Saanane huko wapi?
Nafahamu sana jinsi ulivyokuwa karibu naye,nafahamu sana jinsi ulivyokuwa hata unahitaji ushauri wake,please tafuta namna yoyote ya kunijibu Ben yuko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
mwelimishe hapa hapa au jiwe ataona ulichoandikaHilo ni Jambo AMBALO hulielewi KABISA, nitafute nikuelimishe.
Watu wenye sifa ulizozitaja hawana tofauti na mbwa wanatumwa na kwenda tu wala hawa reason, mwambieni binadamu hu reason. He go to hell! Coward!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu ametupia uzi kuwa siku hizi sivai skafu, huu ni mkutano mkuu wa juzi tarehe 19/2/2020 wakati wa ziara ya mzee Mangula. Skafu nilikuwa navaa hata kabla ya kwenda Ilboru Sekondari haikuwa sare ya Uwaziri.
View attachment 1365715
Kama kuna maswali kunihusu, nitayajibu hapahapa