Judgement soma kwanza Mitekenyano ili somo lieleweke.
Buza napapenda sana, ntafutie hata 20x20 mi ntajenga tu ili mradi tuwe majirani na hapo lazima funguo zangu ziwe zinabaki hapo kwako.
Sio funguo tu! Mamndenyi !
Nna imani hata "bushanga - bwa - dini" utaniachia tu! Si wajua porini hamna itikadi !
Haya mi nshafika Buza.
Nakuandalia makao.
Uje ujue kufaudu na kufaudiwa & kufaudiana.
Chaoo!
Judgement walau ujio wako leo umenipa burudani,
nitafutie eneo usije sema nina cheat chart mkuu,
itakuwa poa tukiwa majirani zaidi,
vipi yule mjomba wako bado yupo?
Unajua Mamndenyi mwenzio nilikua nakaribia kufika Buza?
Hapa wajua umenivuta msuli wangu?
Msuli wenyewe "mchemsho" (hauna nyanya, kitunguu wala mafuta) kule Unguja sijui wanaitaje vilee! Sijui kuchukuchu kama skosei hivi! Sasa wasiwasi wangu waeza nionyesha nyerunyeru mwisho nikajikuta mjini !
Na huko mjini mitihani !
Wanasema "ukitaka kujua njia za chocho/mikato basi kula nauli!" nikirudi huko town ntasakafia nauli.
Ilhali chocho za kurudia Buza, masika hazipitiki.
Hata hivyo pia huku kutamu.
Eneo umepata!
N'takukatia upendavyo!
Nisikukatie kisa!? Majomba tuko nae kilimoni .
Judgment wewe ni mtu muhimu sana na wala huwezi ukafanya mchezo wa anaanado aise uwepo au usiwepo. Jibu hapa ni kuwa lazima uwepo no matter what
Hao wakuda achana nao bana wewe ni jamii ndani ya chit chat na wapaswa kuwepo humu iwe isiwe
Vingine ni mbwembwe tuu mkuu
Judgement misamiati yako inaniacha hoi mie
si unajua ile ya maneno matamu yalimtoa nyoka kwenye pango
nahisi hata wewe umekuwa burudiko la moyo wangu leo baada
ya wa ubani wangu Vin Diesel kuniwekea ngumu
but isiwe shida hapa lazima nitahamia Buza, na ikiwezekana mvua nyingine kama hizi
zinikute huko maskani kwako,
Nipelekee salamu zangu kwa mjomba tena mwambie kuna
hibrid huko mjini inakusabahi na walahi iko siku atanitia kwenye macho
yake ya nyama.
Kila la kheri kwenye kulijenga taifa hili lililomeguka vipande vipande.
Sasa mkuu Judgment karibu sana jamvivi aise wala usitishwe na maneno ya mtaani aiseQUOTE=Judgement;5422547]Kiongozi Mr Rocky !
Manenoyo "mswaki wa mti, hapahitajiki Golgeti !"
nayatafakuri kwa kina!
Sasa mkuu Judgment karibu sana jamvivi aise wala usitishwe na maneno ya mtaani aise
s
Mkuu shaka itupe analog!
Wa kun'tisha hata mamie hajazaliwa! Basi tu, ni ktk haya na yale.
Nawasoma vema wewe na mtoa mada!
Ahsante kwa kurudi Judgement!