Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,957
- 22,156
2012 jun 12
Ilikuwa siku yahuzuni kwangu
sifa zirudi kwa yeye muumba aliemleta mama yangi duniani na kumtwaa
ahsante kunifikisha hapa nilipo leo hii naweza kutumia touch screen...
Leo ni miaka miwiili mama yangu tangu utwaliwe na bwana yesu....najua tulikupenda ila mungu alikupenda zaidi
unakumbukwa na watoto wako wajukuu wako na invisb na leo hii tuna mamod wazuri wakali kuliko wale kipindi kile mumy
in christ
Tunasema heri walewafao katika bwana
kwa niaba ya familia nawashukuru wote walioshiriki kaatika hali namali mpaka tukampumzisha mama yetu kwenye nyumba yake ya milele
amemaliza kazi yake dunian ni maombi yangu nasi tuishi maisha matakatifu mungu atisaidie tiweze kuona ufalme wa mungu
bwana ametoa bwana ametwaa jinalake lihimidiwe
miss you much mama pdidy
will remember you always
Yours
Pdidy
Ilikuwa siku yahuzuni kwangu
sifa zirudi kwa yeye muumba aliemleta mama yangi duniani na kumtwaa
ahsante kunifikisha hapa nilipo leo hii naweza kutumia touch screen...
Leo ni miaka miwiili mama yangu tangu utwaliwe na bwana yesu....najua tulikupenda ila mungu alikupenda zaidi
unakumbukwa na watoto wako wajukuu wako na invisb na leo hii tuna mamod wazuri wakali kuliko wale kipindi kile mumy
in christ
Tunasema heri walewafao katika bwana
kwa niaba ya familia nawashukuru wote walioshiriki kaatika hali namali mpaka tukampumzisha mama yetu kwenye nyumba yake ya milele
amemaliza kazi yake dunian ni maombi yangu nasi tuishi maisha matakatifu mungu atisaidie tiweze kuona ufalme wa mungu
bwana ametoa bwana ametwaa jinalake lihimidiwe
miss you much mama pdidy
will remember you always
Yours
Pdidy