IPO wazi hawa jamaa WA Asia (china , south Korea na,japan) Europe na america wamebadilisha maisha ya hii planet earth kweny angle ya science, mathematics, sports n.k isingekua wao Bado tungekua tunaishi maporini.
Kama mzungu na muasia angelala Leo ungekuta hakuna simu,hakuna Tv,hakuna gari,ndege,meli Yani hakuna chochote.
Wenzetu wanawaza kuanzisha maisha sayari nyingine Sisi tunawaza uchawi ,chuki ,roho mbaya
Waafrika wengi including black Americans tunashida Pahala hususani thinking capacity
TZ uiingia tiktok, Instagram,fb ni post za mapenzi ,mapenzi Yani Kila MTU ni kungwi WA mapenz agenda kuu ni makalio ya wadada na namna ya kumfikisha mwanamke kileleni
At the same time tiktok version ya china inaonesha vijana /wanafunz wakifanya Challange mbali mbali kweny science, mathematics, speech,sports, culture n.k
Asia na Europe na america wamefanikiwa simply because wametupilia mbali mambo yasiyo na tija MF chuki,roho mbaya,na uchawi wakaivest kwenye elimu
AFRICA WAKE UP
Kama mzungu na muasia angelala Leo ungekuta hakuna simu,hakuna Tv,hakuna gari,ndege,meli Yani hakuna chochote.
Wenzetu wanawaza kuanzisha maisha sayari nyingine Sisi tunawaza uchawi ,chuki ,roho mbaya
Waafrika wengi including black Americans tunashida Pahala hususani thinking capacity
TZ uiingia tiktok, Instagram,fb ni post za mapenzi ,mapenzi Yani Kila MTU ni kungwi WA mapenz agenda kuu ni makalio ya wadada na namna ya kumfikisha mwanamke kileleni
At the same time tiktok version ya china inaonesha vijana /wanafunz wakifanya Challange mbali mbali kweny science, mathematics, speech,sports, culture n.k
Asia na Europe na america wamefanikiwa simply because wametupilia mbali mambo yasiyo na tija MF chuki,roho mbaya,na uchawi wakaivest kwenye elimu
AFRICA WAKE UP