N-handsome
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,453
- 561
anjelah kamagheh?
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
Mtoa mada hebu muulize huyu bibie hapendi wavuta sigara tu au hata wanaokunywa pombe?
Halafu anaposema, awe tayari kuniendeleza kielimu, anammisha nini? Anatafuta sponsor au mume wa kweli?
Wee angekuwa hataki mnywaji... Hii thread ingekosa michango ya maana... maana Mimi,Masa,Chrispin wewe Masaki ni watu wa DUBAAAAIIII...
Hawa wadada wanapenda kale kamchezo.....huyu bata ananyama laini kabisa na ina mafuta!
![]()
Piga shule mbona bado mdogo 23?mie nimeoa wakati na miaka kinyume chako yaani 32, nenda shule la sivyo UTATENDWA SANA TU
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba
...nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.
Hawa wadada wanapenda kale kamchezo.....huyu bata ananyama laini kabisa na ina mafuta!
![]()
...😱 khaaaaaaaaa! Mdada mwenye nguo nyeusi, mwenye kikuku mguuni, na 'kufuli' ya madoa doa...pia na pete ya ndoa mkononi...,aaarrggghhh?
Hawa wadada wanapenda kale kamchezo.....huyu bata ananyama laini kabisa na ina mafuta!
![]()
...😱 khaaaaaaaaa! Mdada mwenye nguo nyeusi, mwenye kikuku mguuni, na 'kufuli' ya madoa doa...pia na pete ya ndoa mkononi...,aaarrggghhh?
Kufuli ya madoa madoa iko wapi hapo? Angalieni jamani msije kuvunja ndoa za watu, usikute mumewe memba wa JF!!! 🙂
...😱 khaaaaaaaaa! Mdada mwenye nguo nyeusi, mwenye kikuku mguuni, na 'kufuli' ya madoa doa...pia na pete ya ndoa mkononi...,aaarrggghhh?
![]()
Jamani jamani huyo mtoto anataka nn hapo kwa Fataki.
Huyu Lisa kaingia mitini lol
haya wana JF Crispin, Fidel, na wengine haya sasa mshindwe nyinyi
Yeah amevaa G string yenye madoa doa !! walau huyo ....dada mwenye sululi na Tshirt hana hata chu.pi anasikilizia utamu tu hahahahahahah