Nina hitaji mwanaume wakujenga nae maisha mwanaume mwenye miaka kati ya 29-37,dini awe mkristo,awe na kazi au biashara,pia awe ni mtu alie serious kweli,endapo ana watoto asiwe na watoto zaid ya wawil.
Mimi ni binti mwenye miaka 27 nina ishi na virusi vya ukimwi ,rangi yangu maji ya kunde,sio mrefu wala sio mfupi nipo wastan ,sio mnene wala si mwembamba nina uzito wa kilo 55,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni binti mwenye miaka 27 nina ishi na virusi vya ukimwi ,rangi yangu maji ya kunde,sio mrefu wala sio mfupi nipo wastan ,sio mnene wala si mwembamba nina uzito wa kilo 55,
Sent using Jamii Forums mobile app