Natafuta mume mwenye umri wa miaka 30 hadi 37

jangani

Member
Mar 19, 2019
25
17
Habari wana JF

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Ninaishi na HIV.

Ni mfupi wa wastani, sio mweupe wala mweusi. Ni mkiristo, ndo nimemaliza diploma ya records management.

Natafuta mwenza wa hali yangu awe mrefu, maji ya kunde, mwembamba, awe na kazi angalau, awe mkristo, atakayenidhiria, atakayenifundisha mengi kuhusu maisha na baadaye kuwa mume na mke.

Aliye tayari karibuni na Mungu awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana JF

Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Ninaishi na HIV.

Ni mfupi wa wastani, sio mweupe wala mweusi. Ni mkiristo, ndo nimemaliza diploma ya records management.

Natafuta mwenza wa hali yangu awe mrefu, maji ya kunde, mwembamba, awe na kazi angalau, awe mkristo, atakayenidhiria, atakayenifundisha mengi kuhusu maisha na baadaye kuwa mume na mke.

Aliye tayari karibuni na Mungu awabariki

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekupa hao wadudu kakumbia..???

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom