Amechoka kutendwa anahitaji mume

Amechoka kutendwa anahitaji mume

Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6, mkristo-lutheran.

Sawa

umri 27-35

N'shapigwa chini, am below that!

..ambaye
yuko serious na maisha,..
Annie, fafanua pls!

...awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.

Sawa

Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.

Ok, nitakubeep, hope utanipigia.
 
Yeah amevaa G string yenye madoa doa !! walau huyo ....dada mwenye suluAli na Tshirt hana hata chu.pi anasikilizia utamu tu hahahahahahah

'aloo,
...dada'ngu huyo, acha maskhara bana. 😡
 
wish you goodluck Ila usiwe tegemezi.umeniacha hoi ulivyosema aliyetayari kukuendelza kielimu kwani wewe mwenyewe huwezi?
 
Homeboy taratibu. Waweza kuta ni yule wa MidTown! Shauri yako, ngoja mi niendelee na mkakati. Lisa nijibu PM yangu basi mama. Afu hizo namba mbona nimepiga anapokea mwanaume?


Chrispin mm sitaki uchokozi, embu soma hiyo thread vizuri utaelewa. mm nimekopi sehemu nikaamua niweke hapa labda atapata anachokitaka, lkn si mm.
 
Chrispin mm sitaki uchokozi, embu soma hiyo thread vizuri utaelewa. mm nimekopi sehemu nikaamua niweke hapa labda atapata anachokitaka, lkn si mm.

Mbona umepotea mama hili tangazo muhusika hapatikani
 
lisa banaa, nilikua naku pm, lkn hiyo msg yako imeniahirisha,
 
Mbona umepotea mama hili tangazo muhusika hapatikani

Fidel wewe ndiyo maana hunenepi kila siku uko hivyo hivyo halafu mchokoziiiii, sasa kama hapatikani basi. mm nilijaribu kumsaidia kutangaza.
 
lisa banaa, nilikua naku pm, lkn hiyo msg yako imeniahirisha,


Afadhali maana kwanza unaitwa kifaru he! unanitishia. bora ambavyo umeacha kuni PM.
 
Wee Lisa hiyo biashara ya kunadi binadamu wenzako ndio ilikuwa ikiitwa biashara ya utumwa,huyo Annie mwenyewe ukimpigia cm anasema haitaji mume anao kibao,mi nimejitosa kwa ajili ya ndoa ananiambia haijui hata hii JF yetu,nimeshasema jamani nimechoka kuwa fooled!!Wana JF mnadanganywa huyo ni bibi anaeishi kwenye mitaala!!
 
mi nshakutana nae tayari. kimeoooo.
mtaani kwao ma he wanamwangalia tu.
 
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.

Mami u are to young.. kama umetendwa tiyari.. you have a long way kuendelea kutendwa. Concentrate on developing yourself. Be independent and find yourself before finding a hubby...
 
Naitwa Annie,23,mnene,maji ya kunde,si mrefu wala mfupi sana,elimu
yangu kdato cha 6,mkristo-lutheran.Natafuta mchumba umri 27-35 ambaye
yuko serious na maisha,awe mrefu,sio mwembamba sana,sichagui dini wala
kabila,awe mwelewa,anaeshaurika,asivute sigara,pia awe tayari
kuniendeleza kielimu ili 2weze kusaidiana ktk maisha.
NB:Aliye serious tu ndo anitafute kwan nimechoka KUTENDWA NA
WABABAISHAJI WA MAPENZI,nahtaji mume.
Mawasiliano:0655054760 au 0752054760.

Lisa mpe pole huyu dada, mwambie wanaume hawatafutwi ki-hivyo ndo maana huwa wanamtenda, mbona umri wake bado mdogo amwombe Mwenyezi Mungu atampa mume. Mume mwema utoka kwa Mungu.
 
Mmh hapa JF wachumba wapo kweli 🙂

aliyekuwa amebaki kaoa juzi juzi Geoff ,,Fidel anasomea upadiri .
all ze best mdada !
Waacheni wanaopenda kubonyeza bonyeza waendelea na kazi yao, ila wakumbuke tu kuwa yana mwisho. Harafu ni wabaya kweli kweli wakishaona namba za simu wanaanza mambo yao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom