mzeemkavu
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 305
- 322
Wakuu natumaini mko poa. Mimi ni kijana nina umri miaka 30, natafuta mwanamke aliye serius awe mchumba na baadaye Mungu akijalia ndoa. Sina mtoto wala sijawahi kuoa.
Mimi nimejiajiri, mrefu wastani, mweusi, naishi Dar es Salaam, elimu yangu ni Diploma, kabila langu ni Muha wa Kigoma.
Naitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe mcha Mungu.
2. Umri miaka 18-28.
3. Awe na umbo la kawaida asiwe mwembamba sana.
4. Awe tayari kunitii na kuniheshimu kama mume.
5. Awe na kazi asiwe nayo me freshi, ilimradi anaakili ya maisha na siyo mvivu.
6. Awe amesoma.
7. Rangi awe mweupe asili kwasababu mimi mweusi.
8. Asiwe flat screen na wala simaanishi awe na makalio makubwa sana saizi tu ya kawaida.
9. Kabila lolote sichagui
10. Awe Mtanzania na awe anaishi Dar es Salaam.
11. Asiwe na mtoto.
NB: Nipo serious kwenye hili sitanii naona mda umefika wakuacha kulala peke yangu
Ambaye yupo interested ani pm.
Mimi nimejiajiri, mrefu wastani, mweusi, naishi Dar es Salaam, elimu yangu ni Diploma, kabila langu ni Muha wa Kigoma.
Naitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo:
1. Awe mcha Mungu.
2. Umri miaka 18-28.
3. Awe na umbo la kawaida asiwe mwembamba sana.
4. Awe tayari kunitii na kuniheshimu kama mume.
5. Awe na kazi asiwe nayo me freshi, ilimradi anaakili ya maisha na siyo mvivu.
6. Awe amesoma.
7. Rangi awe mweupe asili kwasababu mimi mweusi.
8. Asiwe flat screen na wala simaanishi awe na makalio makubwa sana saizi tu ya kawaida.
9. Kabila lolote sichagui
10. Awe Mtanzania na awe anaishi Dar es Salaam.
11. Asiwe na mtoto.
NB: Nipo serious kwenye hili sitanii naona mda umefika wakuacha kulala peke yangu
Ambaye yupo interested ani pm.