Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Magufuli alizikwa juzi usiku na wazee wa mji wakisukuma,walidai Magufuli alikua ni mfalme,
Jana kulikua na jeneza tupu bila kitu.
Magufuli alizikwa juzi usiku baada ya wazee kuchukua mwiliwake na kizika pasipojulikana.
Jeneza lilikua tupu,hakuna alikua akijua Hilo.
Askof alikua anazika jeneza tupu bila kujuakunachoendelea.
Hii nayo mpya na Kali!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.

Ayubu 14: 1-2
 
Back
Top Bottom