kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Hii nayo mpya na Kali!Magufuli alizikwa juzi usiku na wazee wa mji wakisukuma,walidai Magufuli alikua ni mfalme,
Jana kulikua na jeneza tupu bila kitu.
Magufuli alizikwa juzi usiku baada ya wazee kuchukua mwiliwake na kizika pasipojulikana.
Jeneza lilikua tupu,hakuna alikua akijua Hilo.
Askof alikua anazika jeneza tupu bila kujuakunachoendelea.
Sent using Jamii Forums mobile app