Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Nguvu na muda unaotumika kumnadi Ali kama ungetumika katika uzalishaji tungekuwa mbali. Lakini ndo hivyo hata mamvi amesema ni kombora linalosuniri kulipuka. Wanalipukia humu jf ma jobless gents and ladies.
 
Ow pole nimeblock pm zidondoshe apa thn utazifuta kama vip

Wewe nae si ufungue pm aweke namba one time alafu ndio uifunge. Kakuamini wew anataka kukupa namba peke yako ila wew unataka aimwage namba yake hapa. Asipokukuta online unataka namba izagae tu hapa sio? Hahahaha
 
Wana ugonjwa wa kutojiamini, tuwasamehe tu, ni kawaida yao na viherehere km mke wa balozi, waliuanzisha kwa mbwembwe kweli ila hawaishi kujivua nguo huku, tushawazoea ni wa kuangalia tu!! They learned from the best.

kweli usemaye wao msanii wenu wa kimataifa huku wamefuata nini
 
Hizo ni baadhi ya stations chache za kimataifa zinapiga video za king wa bongo au muimbaji bora wa kiume Tanzania nzima

Nikiiangalia picha ya mwanzo naona hiyo inatambulisha chanel imekaa vbaya km photoshop na imezid kioo cha tv na pia namuona ali k kapinda kidogo ila kidude cha chanel kipo straight haiendan kabusa ni photoshop ya juu hiyo.
 
Naona kiba hata IG yke ajaweka picha za mashabiki" kaweka yake tu akiwa kwa stage. Cjui aliimbia kibarazani
 
Eti wakati wake umeisha!!! Nani kasema?? Na km wakati wake umeisha kwann watumie nguvu? Kwann awaumize? Wamuache afanye yake kwa nafasi yake, kelele za chura tuu hizo

Walishakosa la kuongea ndo maana.
Muda umeisha amekuwa Saida kalori huyo? Aghaaaa!!
 
aise wananikera sana hasa yule kedrick anazingua sanaaaaaaaa ila sawa tuwapotezeeeni
Kubwa jinga lile tupa kuleee!Ikibidi weka kwenye ignore list. Jamaa mshenzi sana yule, nini maana ya kuwepo kwa threads mbili tofauti ama kule kwao kumebanana sana kiasi kwamba ushuzi wa ndomo wao anakuja kujambia huku? Anatufanya sie wajinga....kwani mpaka tumeamua kumchagua Kiba hatukujua ka kuna Diamond? Mfyuuuu zake, huyo ndo atakuwa wa kwanza kukaa kwenye ignore list tangu nijiunge jf!
 
Wewe naona umepaniki bure ukome kuniita beach kuwa mstaarabu and grow up.
Hayo maswali kaulize huko siyahitaji mimi. Roho zingine za ajabu kweli kweli.:thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown::thumbdown:

Hata ivo alikuita beach girl, maybe unapenda sana kushinda ufukweni.
Hii lugha ya Malikia ni tatizo.Ila kama alimaanisha alichotaka kumaanisha huyu mtu ni mkorofi sana na kavuka mipaka ya ushabiki ndumba wake.
 
Kuna mijitu ina wivu humu hatare?.kwa iyo izo tv mlitaka asirushwe msanii mwingine zaidi ya dai?
Eti photoshop! Photoshop my ass!
 
Ashukuriwe Diamond kwa kumwamsha usingizini Ally Kiba...

Al the best katika show zake, ana sauti nzuri sana hiyo ni moja ya asset zake. Twasubiri mipicha
Lakini hapa tusubiri vipicha vya kwenye GROCERY,HARUSI na BIRTHDAY
 
Tuache ushabiki Kiba ana sauti ambayo sio ya kuedit. Sikiliza cheketua vizuri kisha rudi nyuma sikiliza sinderela. Kiba mkali sana bali alikosa wasimamizi wazuri ila kwa sasa tunaamini atakata kiu zetu. Kila la heri kiba.
Tatizo la wabongo utapiamlo umewatafuna hadi akili,sauti nzuri ndo usanii?CHAMELEONE,DON JAZZY,DAVIDO,20% Wana sauti nzuri ?????SAUTI NZURI KAWE MTANGAZAJI KAMA VIPI.
 
Back
Top Bottom