Thanx so much nna video nyingine na picha ..ila nashidwa kuziupload can u help me
Nipe no zako unirushie whatsup niziweke hapa
Thanx so much nna video nyingine na picha ..ila nashidwa kuziupload can u help me
Alikiba ni msanii mkali sana Africa, pale dai lazima jasho limtoke hadi kumfikia King, unajua bila fitina za dai basi Leo hii tungekuwa tunaongea mengine kabisa
I sent my no to u but Pm haziji kwakoNipe no zako unirushie whatsup niziweke hapa
I sent my no to u but Pm haziji kwako
Ashukuriwe Diamond kwa kumwamsha usingizini Ally Kiba...
Al the best katika show zake, ana sauti nzuri sana hiyo ni moja ya asset zake. Twasubiri mipicha
aisee kuna hizi namba Nifa , Diva Beyonce Ms.Lincoln geniveros lukelo sakafu Shardcole, Avemaria, nyie ni kweli die hard fans wa kiba,i salute you people keep it up atoto kidogo siku hizi ana kua adimu.
Which question did you answer beach girl?
Niliuliza hivi:
Where was he?
who made him back???
Wasn't he there?
................
wewe umeishia kunivulia nguo zote! Unadhani nitakubakiza mzima?
+Ha haa haaa me kwenye vitu vya maana sinaga shida.
+mengine huwa utani wa jadi tu kuchangamsha genge!
Nitarudi tanesco wanzngua
sr bachelor mbona picha zako sijui nini hazifunguki? Nimejaribu mara tatu yaleyale!
Nimejifunza kitu
Over
Umeona eeh!! HehehWao wakipondea eti changamoto ila sie sasa mweeeh utadhani mtu kuchukua tuzo ndo kuwa malaika!Kuna jimama moja huwa nalideku tu....mwanzoni lilikuwa linasema oooh mi nawasupport wote, dai akifanya vizuri na sifia na Kiba akifanya vizuri nasifikia na kwenye kukosoa nawakosoa wote......mfyuuuu kiko wapi sasa??!! Now kila day linamponda Kiba.....yaani katika malupelupe yasojielewa lile namba moja wallah linalopoka ka jehu vile hahahaaa uwiiii nachekaga sana nikikutana na comment yake!Jamani watu ni wanafiki humu jf sijapata kuona, wao wakimponda kiba wanaiita ni changamoto ila sisi tukitoa changamoto kwa mtu wao tunaonekana haters, wakati kutwaaaa kiba hawaishi midomoni na uzuri ni kuwa washajipambanua wao ni team gani ila kinafikiii wanajifanya hawana team, oooh timu zinaua muziki walipozianzisha akili walitia wapi???Kila mtu ana uhuru wa kuchagua akipendacho kwa sababu zake au za kijamii, kwahiyo mimi kumpenda Kiba walaa kusimnyime mtu usingizi, we poooondaaaa utakavyojisikia ila mie mapenzi kwa kiba ndio yanazidi na hutokaa unibadilishe mawazo.
Nimekupenda bure, watu kama wewe ndio wanaoweza kubadili huu ujinga uliopo kwa sasa.
Kwahili nimekuheshimu, uko tofauti na malimbukeni wengine.