Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Hata ivo alikuita beach girl, maybe unapenda sana kushinda ufukweni.
Hii lugha ya Malikia ni tatizo.Ila kama alimaanisha alichotaka kumaanisha huyu mtu ni mkorofi sana na kavuka mipaka ya ushabiki ndumba wake.
Huyu nilimuelewa sana hakumaanisha hii ya kawaida. Kwanini ahisi vitu visivo na ukweli. Kaandika hvo kwa ile meaning nyingne akakosea kuiandika kiusahihi.