Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Attachments

  • 1433757923527.jpg
    1433757923527.jpg
    46.8 KB · Views: 62
+Honera Kiba kwani kwa ile wiki ya kwanza kutoka ilichezwa chezwa kwenye baadhi ya channel za kimataifa hongera kwa hilo
&#1 28079;&#1 28079;&#1 28079;&#1 28079;&#1 28079;&#1 28079;

+halafu nyie team Kei mnaonekana hamfuatilii habari mlikuaga wapi kusherehekea hii habari ya February 3 mnasherehekea leo.

+ ha haa haaa &#1 28513;&#1 28513;&#1 28513;&#1 28513;&#1 28512;
Msijipe moyo video ya mwana kwa sasa haipigwi kituo chochote cha kimataifa, TBC kwenyewe hawapigi washaitia kapuni, sasa hivi habari ya maMTV huko ni Nana tu!

Hahaha m mwenyewe nimeshangaa hii habari ina mda sana ilisha chacha na hii video kwa masikitiko makubsa haikuweka kudumu kwenye airtime ya hizo tv stations. Wala kuingia kwenye chart yoyote ile maskini. Kwa taarifa tu mtanzania au mEast africa wakwanza kukaa #1 trace ni Diamond Plutnumz na alidumu kwa wiki3. Then Ntampata wapi nayo ikaingia cna uhakika sana na Mdogomdogo.
 
Hahaha m mwenyewe nimeshangaa hii habari ina mda sana ilisha chacha na hii video kwa masikitiko makubsa haikuweka kudumu kwenye airtime ya hizo tv stations. Wala kuingia kwenye chart yoyote ile maskini. Kwa taarifa tu mtanzania au mEast africa wakwanza kukaa #1 trace ni Diamond Plutnumz na alidumu kwa wiki3. Then Ntampata wapi nayo ikaingia cna uhakika sana na Mdogomdogo.

Walikua hawana taarifa kama habari imeeksipaya sasa nimeshawapasha habare ha haa haaa
 
Halafu kuna sehemu nimewaona wanalialia nikawaacha tu.

Ata mimi nimewaona mamy ila nilichogundua wanajua kabisa wakianzisha uzi wa kumponda kiba watapata comment nyingi sasa imekula kwao ata niitwe mle siendiiii
 
Hongera zake, Ila sijawahi kuwa mshabiki wa Alikiba. Huwa hana kitu chochote cha kunishtua hasa katika muziki, Hapa nazungumzia sauti yake (siipendi kwa kweli), kucheza kwake na swaggerz ila as long as anamashabiki wake, Good for him and his fans. Ila a guy is mcute jamani lol!
 
1. Wote ambao tupo team DIAMOND tulikua wapenzi wazuri wa ALLI KIBA once.

2. Bifu walilianzisha wenyewe team kiba, kumchukia DIAMOND bila sababu. Ilhali uzembe alifanya kiba mwenyewe kujipoteza ktk game.

3. Diamond hajawahi kukiri ktk media kwamba ana bifu na ALLI, ila Kiba amejitamba here n there kwamba hampendi DIAMOND.

4. BIFU.: team kiba kwasasa wanategemea ugomvi huu uendelee. Kwani watu wanalazimika kupay attention.,,as in Whats up with these two.!! KINYUME NA HAPO KIBA ANGESHA RIH mdaa.

5. Diamond ni ICON ambayo lazima kila msanii ameichukua kama njia ya mafanikio.


Ahsanteni. UJUMBE HUU USOMWE KATIKA MEDIA.

Muda huu wa kuandika upumbavu hapa ungeutumia kwenye kilimo cha kufa na kupona ungeshajiondoa kwenye kundi la malofa.
 
Hahah noma sna tunajua habari za msanii wao kulko wao mashabiki wakereketwa. We lov tz music 4real

+Yeah team mond team akili kubwa hatuna kwere na msanii underground yoyote akitusua kimataifa japo kwa wiki 1 tunampongeza.

+nyie mnaosema fotoshop msituabishe , ilipigwaga buana japo ilipigwaga haikudumu hata wiki 2 lakini ilipigwagaaa!
 
Back
Top Bottom