Ilichezwa Mara ngapi
Inachezwa mpaka kesho Ndorooooooobo ww
Wew mtoa uzi umeukosha moyo wangu sana adi nahisi kushiba...
One love
Hata mimi amenikosha sana kwakweli.
Hata mimi amenikosha sana kwakweli.
Ivi kumbe lukelo sakafu yupo nje eeeh..naona yy hajabaatisha tiket ya kurudi duuu watu wangeshakoma humu ndani
Jamani mbona yule ni mpole tu walimfanya nini?
Nimehuzunika sana.
Kama photoshop vile maana pozi ni moja na mkao mmoja, kwamba mtu aliotea channel zote 2 sehemu exactly hyohyo ya nyimbo? Mhhh!!
Anyway, mkifikia kupata matamasha huko msisahau kujitambulisha kuwa mnatokea anakotokea Platinumz!! 😂
Oyoooooo! Hizi ni salamu kwa mtaa wa pili, jipangeni kwa dhoruba kali mwaka huu..
NDIO TUNAKUJA HIVYOOO!!!
Hivi kwanini team kiba wengi wao,wanakuwaga na hasira na matusi sana kama mashabiki wa simba na manchester united?
Sasa apa unamuuliza nani? Nenda ka google