Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Muongeleeni kiba kama kiba ila munapoharibu kumfananisha na DIAMOND hapo ndo munapoharibu wakati hata kiba mwenyewe alishawahi kukubari kuwa DIAMOND yupo juu zaidi yake "hongera yake DIAMOND kwa kuwa na mandeleo ambayo mimi yananishinda kwa sababu ya kukosa menejiment"-by KIBA sasa wewe unayejifanya shabiki yake usiyeweza kumsifia huyo kiba wako bila kumtaja DIAMOND kwa lipi wakati hata unayemshabikia anajua DIAMOND yuko juu
 
Muongeleeni kiba kama kiba ila munapoharibu kumfananisha na DIAMOND hapo ndo munapoharibu wakati hata kiba mwenyewe alishawahi kukubari kuwa DIAMOND yupo juu zaidi yake "hongera yake DIAMOND kwa kuwa na mandeleo ambayo mimi yananishinda kwa sababu ya kukosa menejiment"-by KIBA sasa wewe unayejifanya shabiki yake usiyeweza kumsifia huyo kiba wako bila kumtaja DIAMOND kwa lipi wakati hata unayemshabikia anajua DIAMOND yuko juu

Sasa na wewe umefanya nini huoni ndo umeharibu. Huu Uzi wa kiba unaleta mambo ya domo huoni kuwa ndo umeharibu.
 
Haha ahaaahaaaa mamy umetisha yaaniiiiii kinoumerrr.... yaan wew ukilala ukiamka unamwaza kiba wapambe wanaonaje wivu...

Hahaa natamani ningekuwa sina kitu kingine cha kufanya kazi yangu iwe Kiba tu yaani.. heheh!

Le King ananikosha kwelikweli!
 
Hizo ni kelele za chura tu, yaani kiba hawakauki midomoni as if ndiye mwanamuziki pekee tz, alafu wamekazanaaa eti local, sasa km washajua ni local why the energy??? Waimbe na wao basi wawe intaneshino, nyambaaaaafu!!

Kina Eddy Kenzo wenyewe wapo international......na kama ni tuzo lady jaydee asemeje?

Emu wakwendreee zao huko, watu naona movement za Le King wanazifuatilia sana wao kila siku majungu tu mpaka boss wao halafu Le King mwenyewe wala hata hana habareee!
 
Hahahahahahah jamani sio vizuri kuna mtu anajitutumua ila watu hawana habari hahahhahaha. Mwoneeni huruma jamani walau mumquote. Hahahhhaha
 
Hahahahahahah jamani sio vizuri kuna mtu anajitutumua ila watu hawana habari hahahhahaha. Mwoneeni huruma jamani walau mumquote. Hahahhhaha

Akanye ajitawaze na maji ya betri..
Unajua mtu ukimshamjulia hakupi tabu.
Si unaona kafyata mkia
 
Jaman team kiba naomba matokeo ya tuzo ya icon ilikuwa inatolewa n chuo kikuu cha dar es salaam plz jaman maana kiba alikuwa anashiriki n kura zilikuwa zinapigwa zaidi ya Mara moja

tutakuchekecha wewe kedrick huku ni kwa kiba sio kwa domo
 
Hahahahahahah jamani sio vizuri kuna mtu anajitutumua ila watu hawana habari hahahhahaha. Mwoneeni huruma jamani walau mumquote. Hahahhhaha

Coco upo diamond platinumz icon wa Tanzania😀😀😀
 
Back
Top Bottom