data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,943
- 23,883
Nataka utoe harufu ya kikwapa humu nenda kwa wanuka jasho wenzako...huu sio uzi hii ni familia kwa taarifa yako
Nimeiheshimu tu JF. Ila ila bas tu.
Nataka utoe harufu ya kikwapa humu nenda kwa wanuka jasho wenzako...huu sio uzi hii ni familia kwa taarifa yako
Can u in anyway show me the point I broke.?
Nyie mmelogwa, na mchawi wenu kafa..
Hua nasikia tu kua yule mama ni hodari wa viserengeti ila nilikua sina uhakika.
Nasikia kuna mmoja alimrekodi sex tape!..Naisubiri kwa hamu hiyo picha love.
Mkali kinoma kulko dada zetu wanaoshinda humu kupika majungu.
ha ha ha ha., team kiba hamkubali shindwa.
Im beggining to like u though..., i wonder.
Eeish, wala sina haja nacho.Mimi nataka nijifunze kingoni bwana.
Hua nasikia tu kua yule mama ni hodari wa viserengeti ila nilikua sina uhakika.
Nasikia kuna mmoja alimrekodi sex tape!..Naisubiri kwa hamu hiyo picha love.
Show off za kijinga huku babake anakufa hamna dhambi isiyo sameheka duniani. Hata maandiko yanasema muheshimu baba yako na mama yako ndo amri ya kwanza yenye ahadi ili kuishi mda mrefu. Sasa huyu domo kajisahau mno hata aibu haoni hawa shabiki maandazi hawamshauri wanampaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Tunajadili tunachojisikia mama, ni sheria gani JF hii inazuia mtu kujadili atakacho?
We dada nawe kwa majungu tu hujambo, ila bora unajitambua
Upuuzi mtupu umeandika hapo nothing new mbagala is ua kende zilizorojeka mxiiiiiiew nitolee ashuo lako. Tena iwe mwanzo na mwisho kuni quote seat ua a.s.s down. Id.I. wewe nikome kama unatoka Tandale ni mwenyewe huko madongo kuinama.
k 4 real
Hahahaaaa kwani ulikuwa hujui? Si kale kajamaa wanakaita Uncle Salum.
Ngoja siku moja nitaweka picha yake akiwa na mama ake Nassib.
Jamaa kampita Nassib kama saba au nane hivi.
Ova
So what? Yupo super handsome anaye take care of me sina shida na chizi kama wewe.
Acha kujipendekeza wewe mwanaume utaolewa mjini hapa shauri zako.
Halafu alivyo mjinga anamchukia baba yake bila kujua sababu ilikua nini hadi baba yake akafanya vile.
Kwa jinsi mama yake alivyo naona baba ana haki ya kumtosa mama yake.
I do not have time to argue with a fool.
Huyu naona hanijui, ngoja leo aucheze mziki wangu kidogo.
Ngoja nimpe japo dakika 20.
Na kweli kapanick mwenzangu, video kama moyo wangu ni idea zilikosekana hadi irudiwe ya Adam Juma?
Maana King wetu walisema katolea chooni, haya huyu aliyerudia je?
Ngololo zilezile, yaani in short there is nothing new.
diva ujue hakuna kitu inauma kama kukataliwa/kutelekezwa na baba yako ila haina jinsi kusamehe ni muhimu but for sure hutoweza kusahau maishani mwako kwamba baba yako ali kukataa.....thanks God i was born and raised na wazazi wangu wote wawili.