Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Wow nilikua sijui huu uzi unamwongelea Diamond platnumz kwa sana zaidi ya waimbaji wengine wote TZ na duniani.

Nice one

Tunajadili tunachojisikia mama, ni sheria gani JF hii inazuia mtu kujadili atakacho?
 
Acha kujitia aibu mjinga wewe ongea kiswahili tu.
Hapo kwenye red ni utumbo gani?

chose
[chohz]
verb
1.
simple past tense of
choose.
2.
Obsolete. past participle of
choose.


Pole wewe, ndo maana lazima nkutafute nikupe na lecture ya grammar.
 
Wasanii wanaotuwakilisha vizuri africa sahv ni Diamond kama kawaida yake Vanessa Shetta na Joh Makini waliobaki wengine bdo wanaangalia soko la East Africa

So what do you want may be I can offer you any help. diamond a.k.a big mouth like crocodile. You will jiju yourself mxiiiiiiieeeew.
 
Anhahaahaahhh-! Umeumbuka umekimbia. U cant mess with me nifah . Uombe poo tu.

Im good.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaa uwiiiiii! Yaani nacheka hapa kama chizi nakuambia.Nilishtuka nikadhani kitu cha maana kumbe hakuna kitu.
Quality ya video tu ndio imembeba.

Mi ndo hata siuhangalii kabisa ingawa sijauona. Madai yake hiyo video ya kulambisha watu ndimu. Pyeeee pole yake ndo tatizo la kufanya mziki ka mashindano badala ya Ku relax.
 
Wewe data unasemaje? Mimi nikukimbie wewe kwa lipi sasa taahira wewe?
Hahahahaha haya niko hapa sema unatakaje? Aisee ni bora angekua mtu mwingine alokua smart kidogo ila wewe nakudharau sana.
Tutakesha hapa...
 
Last edited by a moderator:
Wow nilikua sijui huu uzi unamwongelea Diamond platnumz kwa sana zaidi ya waimbaji wengine wote TZ na duniani.

Nice one

Huu sio uzi hii ni familia yetu. Kila siku kila saa lazma tuwe apa.
ONYO:
Humu hatutaki magezeti wala waraka apa ukitaka kuweka kitu andika mistari miwili huwezi sepaaaaaa
 
Wewe data unasemaje? Mimi nikukimbie wewe kwa lipi sasa taahira wewe?
Hahahahaha haya niko hapa sema unatakaje? Aisee ni bora angekua mtu mwingine alokua smart kidogo ila wewe nakudharau sana.
Tutakesha hapa...

Chose ni past simple tense ya choose.

I care about u. Si waona nakupiga lecture.
 
Last edited by a moderator:
Mi ndo hata siuhangalii kabisa ingawa sijauona. Madai yake hiyo video ya kulambisha watu ndimu. Pyeeee pole yake ndo tatizo la kufanya mziki ka mashindano badala ya Ku relax.

Aseee hapa ka boogie sana.Hua nawashangaa wanasema tunamstress Kiba hadi anapanick domo ndio katoa kituko gani hicho?
Heri yako wewe hujakiona tu maana nimecheka balaa.
 
Eti huyu chizi anasema nimemkimbia jamani? Mimi nifah wa kumkimbia mtu JF hii? Bado sana aisee.

Yani umkimbie huyu mbulula au choko asiye na mbele wala nyuma. Ame paniki huyu baada ya walichotegemea kutoka vibaya.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom