Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kwendraaaa mchawi ndio wewe ndio maana umejua kama tumelogwa.
Tuache tujadili tunavyotaka, hakuna aliyekuita hapa.

wewe inabidi nikutafute nikukule ili uwe na adabu. Na I promise that.
 
Sasa akituzungusha mashabiki zake wewe unaumia nini? Eti Joh makini wewe nenda kawasikilize hao international sisi wa local anatutosha.

Wasanii wanaotuwakilisha vizuri africa sahv ni Diamond kama kawaida yake Vanessa Shetta na Joh Makini waliobaki wengine bdo wanaangalia soko la East Africa
 
wewe kuku wa kienyeji uwe na adabu kwa dadangu nifah sawa,hizo bangi zako kavutie chooni nyambafu zako idioty

Asante kaka yangu lukelo sakafu.Ujue mataahira wengine wanadhani kila mwanamke yuko cheap, laiti angenijua asingeandika hizi pumba zake hapa.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaa imebidi nicheke sana aisee.Hivi unadhani mimi napatikana kirahisi eeh?
Pole zako sana maana hilo haliwezekani over my dead body.
Mwenye hadhi hiyo ni my love Mdakuzi tu.
Mjinga mjinga kama wewe utaishia kunisoma JF tu.Huna hata hadhi ya kunishika mkono taahira wewe.
Wewe sio type yangu......period.

shit...., mwanamke unakua na chuki za kijuha...
 
Last edited by a moderator:
shit...., mwanamke unakua na chuki za kijuha...

Huo ndio ukweli wewe boya sio wa hadhi yangu.
Tuishie kubishana hapa JF tu, enjoy hii nafasi adimu maana kivyovyote vile usingeipata.
 
Wow nilikua sijui huu uzi unamwongelea Diamond platnumz kwa sana zaidi ya waimbaji wengine wote TZ na duniani.

Nice one
 
Back
Top Bottom