BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,779
oya sankoro
Onanananana nanana"
oya sankoro
una uwezo mdogo sana wa kuwaza na zile hadithi zako za ukimuangalia sana simba usoni anaona aibu!
Hizo sababu mbili hapo juu hana hata moja, Video ya CHEKECHA mpaka leo hii ni mienzi 3 hajatoa anawazungusha mashabiki wake. ALIKIBA haangalii soko la music linataka nini yeye bado yupo ki-local sana wakati wadogo zake akina SHETTA, VanessaMdee, Dimond, Johmakini wana-make HEADLINES kwenye vituo vikubwa vya Music Africa. Na kuhusu uandishi wa nyimbo nzuri bado sana kumfikia Dimond ila labda useme anajua kuimba(tune).
b
Jamani mmeona ile video iliyokua inapigiwa promo?
Hahahahahaa too low kwakweli, kwanza idea ya video haina tofauti na ya moyo wangu.Labda kidogo sana hasa darasani ila barabarani ni yaleyale.
Pili wimbo hakuna kitu, ni onana onana...lol
Afadhali Mr. Flavour nimemuelewa kidogo ila domo hapana kwakweli!
Hebu na nyie muitazame halafu mniambie.
Ila quality ya video iko vizuri.
Wewe ndo unajiona una uwezo mkubwa wa kufikiri uka comment hivi mbona wewe ndo mbovu zaidi yake.
Kah sijauona hyo video ka INA idea ya moyo wangu basi haina jipya lolote na huo wimbo aisee.
Kah sijauona hyo video ka INA idea ya moyo wangu basi haina jipya lolote na huo wimbo aisee.
Hebu nenda kaangalie kile kituko cha wimbo bwana tucheke.
Tulikua tunasumbuliwa huku Mr.Flavour sijui nini hakuna kitu!
Onanananana nanana"
Ivi nyie teamKiba mnajitambua?
Ivi nyie teamKiba mnajitambua?
Hebu nenda kaangalie kile kituko cha wimbo bwana tucheke.
Tulikua tunasumbuliwa huku Mr.Flavour sijui nini hakuna kitu!
Hebu jiheshimu na wewe unahangaika nini na wasio jitambua? Are u out of ua senses? Leave us eeh and mind ua own fu..king business.
Nyie mmelogwa, na mchawi wenu kafa..
Hebu nenda kaangalie kile kituko cha wimbo bwana tucheke.
Tulikua tunasumbuliwa huku Mr.Flavour sijui nini hakuna kitu!
Hahaaa yani hadi hamu ya kuona sina imeshachuja tayari mambo yenyewe ni repition no creative of new video. Ngoja niitafte mweerh mana walikua na kelele nayo ka chura dibwini au kwenye mabwawa.
Duh bas kama vipi Sankoro ama niniii!
Mkuu washaanza kuelewa. Naona wameanza kumkubali
Jamani mmeona ile video iliyokua inapigiwa promo?
Hahahahahaa too low kwakweli, kwanza idea ya video haina tofauti na ya moyo wangu.Labda kidogo sana hasa darasani ila barabarani ni yaleyale.
Pili wimbo hakuna kitu, ni onana onana...lol
Afadhali Mr. Flavour nimemuelewa kidogo ila domo hapana kwakweli!
Hebu na nyie muitazame halafu mniambie.
Ila quality ya video iko vizuri.