Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Mi ndo hata siuhangalii kabisa ingawa sijauona. Madai yake hiyo video ya kulambisha watu ndimu. Pyeeee pole yake ndo tatizo la kufanya mziki ka mashindano badala ya Ku relax.

Mmh!...kwan dai anafanya mzik kushindana na nani labda ?
...au ndo unamtafutia mtu wa kumshindanisha apitie mgongo wake!!
 
Chose ni past simple tense ya choose.

I care about u. Si waona nakupiga lecture.

So what? Yupo super handsome anaye take care of me sina shida na chizi kama wewe.
Acha kujipendekeza wewe mwanaume utaolewa mjini hapa shauri zako.
 
Aseee hapa ka boogie sana.Hua nawashangaa wanasema tunamstress Kiba hadi anapanick domo ndio katoa kituko gani hicho?
Heri yako wewe hujakiona tu maana nimecheka balaa.

Hahaaa ndo hata sijusumbui hamna jipya. Afanye mziki kwa Ku relax sio kushindana na Kiba na mashabiki wake maandazi ndo wana mpa bichwa wewe international atoe manyimbo na video nyingi.Matokeo yake anajitaftia stress tu ka na huu wimbo ni mbovu na video atulie kwanza Kiba ana Mpa pressure nyingi maskini.
 
nifah mamy si tulikubaliana tusiwajibu wajinga? Huyu data sio type yako acha abwabwaje afu ataondoka tuu
 
Last edited by a moderator:
Huu sio uzi hii ni familia yetu. Kila siku kila saa lazma tuwe apa.
ONYO:
Humu hatutaki magezeti wala waraka apa ukitaka kuweka kitu andika mistari miwili huwezi sepaaaaaa

Hahahhahahahaha nimecheka kwa nguvu hadi nyumba ya pili wamesikia!
Jamani narudia hatutaki magazeti huku maana kule jukwaani nakimbiaga hayo magazeti maana hadi kichwa kinauma kwa jinsi yalivyo marefu!
Japo siyasomagi lakini nikiyaona tu kichwa kinaniuma!
 
Mmh!...kwan dai anafanya mzik kushindana na nani labda ?
...au ndo unamtafutia mtu wa kumshindanisha apitie mgongo wake!!

We unafikiri ana compete na nani? Hafu njoo na I'd yako ya siku zote nendeni kwenye Uzi wake. Hahaaaaa yani ndo kutokujiamini hadi kuja na I'd mpya. What a shame mxiiiiiewwww.
 
So what? Yupo super handsome anaye take care of me sina shida na chizi kama wewe.
Acha kujipendekeza wewe mwanaume utaolewa mjini hapa shauri zako.

Just say thanx. Being human is wisdom.

I lectured sth into u.
 
Yani umkimbie huyu mbulula au choko asiye na mbele wala nyuma. Ame paniki huyu baada ya walichotegemea kutoka vibaya.

Huyu naona hanijui, ngoja leo aucheze mziki wangu kidogo.
Ngoja nimpe japo dakika 20.
Na kweli kapanick mwenzangu, video kama moyo wangu ni idea zilikosekana hadi irudiwe ya Adam Juma?
Maana King wetu walisema katolea chooni, haya huyu aliyerudia je?
Ngololo zilezile, yaani in short there is nothing new.
 
nifah mamy si tulikubaliana tusiwajibu wajinga? Huyu data sio type yako acha abwabwaje afu ataondoka tuu

Ni wa kupuuzwa hawa mtu wao katoa wimbo badala waende huko wanakuja na I'd mpya huku. Waswahili ni shiiiider tu.
 
Last edited by a moderator:
We unafikiri ana compete na nani? Hafu njoo na I'd yako ya siku zote nendeni kwenye Uzi wake. Hahaaaaa yani ndo kutokujiamini hadi kuja na I'd mpya. What a shame mxiiiiiewwww.

Wote nyie team kiba mna fake Id's zinazo mpraise Di..
 
We unafikiri ana compete na nani? Hafu njoo na I'd yako ya siku zote nendeni kwenye Uzi wake. Hahaaaaa yani ndo kutokujiamini hadi kuja na I'd mpya. What a shame mxiiiiiewwww.

Kwan cku hiz watu hawaruhusiw kujiunga JF ??
...au kujiunga ilikuwa mwisho lini ?
 
We unafikiri ana compete na nani? Hafu njoo na I'd yako ya siku zote nendeni kwenye Uzi wake. Hahaaaaa yani ndo kutokujiamini hadi kuja na I'd mpya. What a shame mxiiiiiewwww.

Halafu nimekumbuka kitu, huyu chizi data kuna sehemu nimemuona akisema Kiba fans tuna id nyingine mpya!
Huyu ana akili nzuri kweli? Hizi id's mpya za wenzao humu jukwaani hazioni? Hadi wanafungua uzi wa kutulalamikia pia haoni?
Jinga sana hili.Kiba fans tunajiamini, hatuna muda wa kufungua id's mpya ni mwendo wa jino kwa jino.
 
Anhahahaa..,nimekukamata pabaya leo nifah ,. Who was ur english CHeatEr??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom