Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Achana nae dear, nashangaa anakuita wa mbagala.
Kwani umeshahama sinza?
Shaachana naye huyu anataka kuni provoke. Huwa nawashangaa sana watu wasio heshimu mawazo ya wengine wao Ku judge ubaya tu.
Mbwa ukimjua jina bwana hakusumbui.